Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,473
- 4,007
Je, Tunatenda haki kuwafukuzia na kuwarubuni hawa ili tu tupate urithi, jamii inatuonaje. ni umri upi huwezi olewa naye au kumuoa, au ndio habari ya mjini siku hizi kufukuzia urithi.
wengine tukune wao wachunwe tu maana hawawezi tenaHao wazee mbona wako fiti kabisa, hivi nikiolewa nao kuna mtu atateseka?
Hebu chunga maneno yako...usipandishe presha yangu babe,Hao wazee mbona wako fiti kabisa, hivi nikiolewa nao kuna mtu atateseka?
Halafu sisi unatuachaje?Hao wazee mbona wako fiti kabisa, hivi nikiolewa nao kuna mtu atateseka?
si unaangalia urithi tu kuna kitu hapo hata uambiwe nn unafumba macho kama huoni vileHuyo dada picha ya kwanza dah!!!
Hao wanaweza kabisawengine tukune wao wachunwe tu maana hawawezi tena
Mtachukua wengineHalafu sisi unatuachaje?
hakuna ki moja cha haraka tu hoi hadi asubuhiHao wanaweza kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa babe mimi hao wababa nawajua hadi presha ikupande?Hebu chunga maneno yako...usipandishe presha yangu babe,