Nini kinasababisha tutofautiane katika kupenda?

Nini kinasababisha tutofautiane katika kupenda?

Bandu Ncheche

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
512
Reaction score
326
Unakuta una mtu wako unampenda kwelikweli,yaani huambiwi husikiii umekufa umeoza kabisa,halafu mtu huyo huyo Kuna watu walishampitia mara kadhaa kabla yako halafu wakaachana naye na hawataki hata kumsikia,Wakati huo huo wapo ambao walishampitia wakaachana na wanamtafuta kwa udi na uvumba ili warudiane,je hii hali inatokana na nini hasa?
 
Hiyo hali hutokea pale mwili unaporatibu sumu nyingi mwilini na kupelekea ubongo kushindwa kuhimili maamuzi yake. Na mara nyingi pale inapotokea hivyo mhusika huathirika kwa kuhisi uchovu wa mwili hasa sehemu za maungio na kupelekea homa za mara kwa mara na mtu huyu akizembea basi anaweza kufa. Hivyo kitaalamu inashauriwa uweze kukutana na mtu wako aliyekuwa anakupa furaha siku za nyuma.
 
Hiyo hali hutokea pale mwili unaporatibu sumu nyingi mwilini na kupelekea ubongo kushindwa kuhimili maamuzi yake. Na mara nyingi pale inapotokea hivyo mhusika huathirika kwa kuhisi uchovu wa mwili hasa sehemu za maungio na kupelekea homa za mara kwa mara na mtu huyu akizembea basi anaweza kufa. Hivyo kitaalamu inashauriwa uweze kukutana na mtu wako aliyekuwa anakupa furaha siku za nyuma.
Duu!!!!!!
 
Hapa suala ni utofauti wa watu ambao unakuwa umetembea nao ukilinganisha unaona yule ni the best one na pia suala la kupenda kupitiliza ni suala muda tu ndoa changa
 
Back
Top Bottom