BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,014
Wakuu weekend iwaendee salama kwa wale wenye changamoto poleni sana.
Moja kwa moja kwenye point, vijana wengi "Ke na Me" wanao tafuta wenza wana kabiliwa na tatizo moja kubwa.
Tatizo ni kuwa kila anae tafuta kwa sasa alishawahi kuachana na mpenzi before! Sasa kibaya zaidi wanatumia historia ya mahusiano ya mwanzo kutengeneza mapya. Hii mbaya sana maana binadamu hatufanani kila mmoja na hulka yake!
Ili kufanikiwa ondoa fikra za kukusanya mabaya ya mpenzi wako wa zamani unaleta kwenye mahusiano mapya.
Post Traumatic Stress Disorder- hili ni tatizi la kisaikoloji linalo tokana na mtu kuishi kwenye kumbukumbu hasa za tukio/matukio mabaya na huwa na athari kifikra.
Make the past a lesson don't fix it into your current life.
Wasalaam ,!!
Moja kwa moja kwenye point, vijana wengi "Ke na Me" wanao tafuta wenza wana kabiliwa na tatizo moja kubwa.
Tatizo ni kuwa kila anae tafuta kwa sasa alishawahi kuachana na mpenzi before! Sasa kibaya zaidi wanatumia historia ya mahusiano ya mwanzo kutengeneza mapya. Hii mbaya sana maana binadamu hatufanani kila mmoja na hulka yake!
Ili kufanikiwa ondoa fikra za kukusanya mabaya ya mpenzi wako wa zamani unaleta kwenye mahusiano mapya.
Post Traumatic Stress Disorder- hili ni tatizi la kisaikoloji linalo tokana na mtu kuishi kwenye kumbukumbu hasa za tukio/matukio mabaya na huwa na athari kifikra.
Make the past a lesson don't fix it into your current life.
Wasalaam ,!!