Habari za siku wana JF wote,
Kama kichwa cha mada kinavosema,
Niende moja kwa moja kwenye mada husika, kuna baadhi ya wanawake huwa wako tofauti sana yaani yeye kila siku umuombe wewe utamu...
Kamwe usiruhusu vitu au watu kukuumiza moyo wako kila muda.
Maisha ni mafupi mno kuwa na huzuni kila mara. Kila siku mpya inayokuja ni zawadi kutoka kwa Mungu. Hivyo basi, ishi huku ukifurahia...
huyu mwanamke kawaje?! hembu someni hii
nilikuaga na mwanamke wangu nikapotezana nae mda kidogo nilipoteza contact zake!, leo nimepata namba zake kwa best yake nikamvutia mkonga duuh!
wakati...
Waungwana salama!!
Kuna hii tabia ya wadada naona inaota mizizi mitandaoni ya kuomba omba omba kama matonya wa Dom
Unakuta mdada anakufuata inbox iwe fb,insta,Badoo au dating.com unapiga nae...
Kumekuwa na tafasiri potofu kuhusu nguvu za kiume. Msingi wa tendo la ndoa ni kwa ajili ya uzazi...lengo lake ni kuendeleza uzazi wa viumbe.
Ili kufanikiwa na kuhakikisha unatungisha mimba...
Nlikumbuka kisa kimoja cha jamaa ambaye alikuwa anaishi na jirani yake na kugundua jiraniye anamla mkewe
Basi siku ya kwanza akaamua kwenda kwa huyo jiraniye Bwana Sijali na kumkuta...
Nilimwambia Unapomaliza Form 6 Tabia Yako Nitaipima Ukifika chuo Maana Huko Unaenda Kuwa na Uhuru
Na kama ukishinda Vishawishi Vya Chuo Basi Ndipo Nitawaza Kukuoa
Leo hii Mtihani Umemshinda...
Ujue wadada wa Kitanzania wana akili mbovu na za kimaskini sana!!!hasa hawa wa uswahilini kina Mwajuma,Somoe,Maimuna,Fatuma, Tatu,Mwanaidi,Anna,Rachel,Angel
Wewe umepata bwana unaona ana hela na...
Nawahakikishieni hakuna mapenzi ya kweli.
Naamini hata Adam angemsaliti Hawa.
Chamsingi nikukomaa na ulienae hata kama anachepuka mvumilie life lisonge mbele.
Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu, kuwa ni maeufuku kumsomesha mchumba wako. Hili tulishalifunga na atakae tuletea malalamiko tutampiga kwenzi kuu, ndio tunampa ushauri.
Sambamba na hilo...
Nimesukumwa na uzi ulosema 'mchumba hauguzwi'.
Wakati unamsaidia mtu, usitegemee sana kulipwa fadhila na huyo. Iwe mkeo, mchumba, ndugu, jirani hata rafiki. Hii itapunguza 'stress' za...
wanabodi kuna hali niliwahi kukutana nayo na juzi juzi pia imenitokea.
iko hivi kuna binti mkali sana nilimfukuzia nikafanikiwa kudate nae lakini huwezi amini baada tu ya bao la kwanza mzuka...
*DUH AMA KWELI NDOA ZINA MAMBO[emoji16][emoji16]*
Kuna kijana alikua anajua
kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi
akamwuliza mke,
mkewe akakataa,
akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia...
Vijana wenzangu poleni na majukumu wakubwa kwa wadogo jamani mimi nipo mkoani dar es salaam Ninafanya Volunteer kwenye Company flan mjini post, nimekuja kwenu naombeni kwa atakae kuwa na uwezo...
Nakumbuka ndo nilikuw nimeanza date na manz mmoja hiv sasa bana siku moja tupo ndani chumba self nikabanwa na tumbo balaa uharisho sio wa nchi hii nikazama ndichi bila kuangalia kama maji yapo au...
In short wanawake wanapenda sana pesa, ndomana utaskia nataka mwanaume mwenye pesa ila sisi makapuku hatuna nafasi kabisa, cha ajabu hao wanaume wanaowakimbilia wanashindwa kuwamudu ,Mwisho wa...
Hii kauli kiukweli ina uma sanaaa,unapotamkiwa na mtu yeyote.
Na ina uma pale kiukweli wewe ni dhaifu kwenye mambo Fulani.
Mfano leo mke wangu kanitamkia kuwa Mimi ni dhaifu sana kwenye kufanya...
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada ni hivi.
Nilikuwapo kwenye mahusiano na mabinti wawili hivi.
Huyu wa kwanza anaonekana ana mapenz ya dhati kwangu japo tulisha achana,kwa sababu ya yeye...