Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
Nilimwambia Unapomaliza Form 6 Tabia Yako Nitaipima Ukifika chuo Maana Huko Unaenda Kuwa na Uhuru
Na kama ukishinda Vishawishi Vya Chuo Basi Ndipo Nitawaza Kukuoa
Leo hii Mtihani Umemshinda Anakunywa Pombe,Club kwa Sana Na Naamini Atakuwa Na Mwanaume zaidi ya mmoja.
Kwanini wanawake wengi wanaharibika chuo?? Kuna nini huko??
Na kama ukishinda Vishawishi Vya Chuo Basi Ndipo Nitawaza Kukuoa
Leo hii Mtihani Umemshinda Anakunywa Pombe,Club kwa Sana Na Naamini Atakuwa Na Mwanaume zaidi ya mmoja.
Kwanini wanawake wengi wanaharibika chuo?? Kuna nini huko??