comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,328
- 16,824
huyu mwanamke kawaje?! hembu someni hii
nilikuaga na mwanamke wangu nikapotezana nae mda kidogo nilipoteza contact zake!, leo nimepata namba zake kwa best yake nikamvutia mkonga duuh!
wakati nimempigia naongea nae kwa simu namuomba tukutane et anasema "hela yako tuu!!"
haahaha, ikabidi nikate simu kwanza maana sikuelewa somo!
nampandia hewani tena kwa mara ya pili kwa kuhisi labda hajajua anaongea na nani labda kachanganya namba, namcall tena, kapokea et "kwan comrade wewe unashngap nije!?"
nikaishiwa pozi ikabid nimkatie simu tuu aseee mana hakua hv..
inamaana kaamua kua mjasiria mali kwa kiungo chake cha mwili au?!
nilikuaga na mwanamke wangu nikapotezana nae mda kidogo nilipoteza contact zake!, leo nimepata namba zake kwa best yake nikamvutia mkonga duuh!
wakati nimempigia naongea nae kwa simu namuomba tukutane et anasema "hela yako tuu!!"
haahaha, ikabidi nikate simu kwanza maana sikuelewa somo!
nampandia hewani tena kwa mara ya pili kwa kuhisi labda hajajua anaongea na nani labda kachanganya namba, namcall tena, kapokea et "kwan comrade wewe unashngap nije!?"
nikaishiwa pozi ikabid nimkatie simu tuu aseee mana hakua hv..
inamaana kaamua kua mjasiria mali kwa kiungo chake cha mwili au?!