Tafasiri potufu kuhusu nguvu za kiume

Tafasiri potufu kuhusu nguvu za kiume

iMind

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,206
Reaction score
5,439
Kumekuwa na tafasiri potofu kuhusu nguvu za kiume. Msingi wa tendo la ndoa ni kwa ajili ya uzazi...lengo lake ni kuendeleza uzazi wa viumbe.

Ili kufanikiwa na kuhakikisha unatungisha mimba inabidi mwanaume atoe mbegu a.k.a a come haraka iwezekanavyo. Mtu anaye come haraka ana nguvu nyingi za kiume na ana nafasi kubwa ya kuzalisha kuliko yule anayechelewa ku fika mshindo.

Kwa lengo la kibiashara hii dhana imegeuzwa. Wale wenye nguvu nyingi za kiume wanaambiwa hawana nguvu na wasio na nguvu ndo wanaambiwa wananguvu.

Kimsingi dawa au kitu chochote ambacho ukitumia kinakufanya usifike mshindo haraka basi kitu hicho kinakupunguzia nguvu za kiume.

Kwa lugha nyingine ni kwamba watu wamekuwa busy kupunguza nguvu za kiume kwa kutafuta vitu ambavyo vinaweza kufanya wakachelewa kupiga mshindo.

Najua wenye akili pekee ndo watakaonielewa.
 
Acha uongo bhana
Kwa sababu mmekaririshwa. Hebu chukua mfano wa betri ya gari. Betri yenge ngungu na isiyo na nguvu ni ipi ina washa gari haraka?

Sisemi kuchelewa ku mwaga ni mbaya, inaweza kuwa faida kwa upande wa pili lakini ni upungufu wa nguvu za kiume. So may be wanawake wanaweza kufurahi mtu mwenye upungufu kuliko yule mwenye nguvu nyingi za kiume.
 
Tofauti na viumbe wengine binadamu hufanya mapenzi ili 1. Kufanya shughuli ya uzazi 2. Starehe linapokuja swala la kufanya mapenzi kama starehe nguvu za kiume ni uwezo wa kusimamisha uume baada ya mshindo wa kwanza au kuendeleza kupiga mzigo baada ya mshindo wa kwanza bila kupumzika..muda mwingi utakaotumia kuusimamish uume hando ndo upungufu wa nguvu za kiume ndo unapoanzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom