Kama title ya thread inavyojieleza yani mwanamke akinikumbatia lazima mm mikono yangu ielekee maeneo ya kiuno na msambwanda.Yani mpaka wengi huwa wanashituka !
Sasa wakuu nyie huwa mnashika wapi?
Hili ni fundisho kwa vijana wengi ambao wanataabika, suala la fedha limekuwa mwiba mkubwa na chanzo kikubwa cha mahusiano na ndoa kuyumba. Nimelazimika nije na ushauri huu ambao utawasaidia vijana...
Katika pita pita zangu nimekutana na dada mrembo kiasi nikamtongoza akaingia line siku ya pili tukatafutana tukaenda kupiga shooo (Japo Mashine BREKI P). Nilipoomba tukapime akazuga mi...
HOW TO GET ALL THE MONEY YOU NEED FROM YOUR MAN...
If you want more money from your man or you want to turn your stingy husband into a super generous, lavish giver who never says NO to your...
Katika mambo ambayo wanaume tunakosea ni kutaka kumpa hela mwanamke hata ambazo hatuna uwezo wa kuzipata.. Yani ukiona mwanamke anakwambia nataka laki 5 na anajua kabisa wewe uwezo wako ni elfu 50...
kwenye mapenzi usipokuwa makini unaweza kumpoteza mwenye mapenzi ya kweli kwa kumkumbatia mjinga mmoja kwa kujidanganya et unamvumilia atabadilika.... wakati hakuna hata kimoja alichokuambia cha...
Katika kitu sijawahi kuwa na Utani nacho ni ule wakati wa uchakataji wa Papuchi,
"Juzi nilikuwa safarini kuelekea moro Nyumbani mara moja kumsalimia mzee na bi mkubwa,
bahati nzuri sasa wakati...
Katika maisha kuna kupata na kukosa ukipata utapenda umfurahishe mke wako kwa kumpa mahitaji yake mbalimbali hata kumnunulia gari ili apendeze zaidi na wewe ujiskie vizuri kwa kumuona ana furaha...
Hii nimejilidhisha mu mwenyewe na pia na nyie mtakuwa ni mashahidi wa hili.Wanawake huwa hawafuti namba za simu za wapenzi wao hata kama mliachana miaka miwili iliyopita.Au hata kama ulimtongoza...
Ikitokea mpenzi wako unayempenda sana,na umemhonga vitu vingi sana kwake;mwisho wa siku unakuja kukuta kwenye simu ameku-save kwa jina la 'mburura' au 'kamongo',utachukua hatua gani?
Katika sayari hii ya dunia kuna baadhi ya watu wanakwambia mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia, hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya watu wengi wametawaliwa na mawazo ya kimapenzi.
Pamoja na...