Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,230
Naombeni jibu tafadhali...
Nimerejea mahabani baadae ya kukosa jibu mujarabu siasani.
Ukisimama inakuwa mbele, ukikaa inakuwa kati na ukiinama inakiwa nyuma.
Ni vyema ukafanya kwa vitendo na kugusa ni kipi kinahama hivyo kwa nyakati zote tatu tofauti....
Ameinamaaa.... Ameinukaaaa...
Anaona Haya huyoooo.... Joyce Wowowoooo....
K' Mahaba.
Nimerejea mahabani baadae ya kukosa jibu mujarabu siasani.
Ukisimama inakuwa mbele, ukikaa inakuwa kati na ukiinama inakiwa nyuma.
Ni vyema ukafanya kwa vitendo na kugusa ni kipi kinahama hivyo kwa nyakati zote tatu tofauti....
Ameinamaaa.... Ameinukaaaa...
Anaona Haya huyoooo.... Joyce Wowowoooo....
K' Mahaba.