Nikizungumza From experience ya zaidi ya Miaka 15, uzoefu wa wanawake niliowahi kuwapenda ambao wapo Sita.. Nimekuja na hitimisho moja hivi..
Hitimisho lenyewe ni Kwamba waliosema True love never...
Kuna ugomvi wa kufa mtu nimeuona kwa ndoa fulani hapa, kisa mke kapekua simu ya mumewe na kukuta humo vijimambo mambo fulani vya mchepuko, sasa swali langu kwa wanawake
- Hivi mnafahamu asilimia...
Habari wakuu
Katika jamii zetu za Kitanzania ni jambo la kawaida kusikia bint anapotaka kuolewa wajomba wake lazima wahusike kwa namna moja ama nyingine. Sote tunafahamu wajomba ni kaka wa mama...
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza...
Narudi tena kivingine..tafit7 hupingwa kwa tafiti.
Kama una mchumba,gf,kimada au kipozeo chako cha kike kinaishi sinza,kijitonyama,kinondoni maeneo ya mk,studio,mkwajuni,vijana komakoma.. Na kino...
1. Usipokee simu ukiwa na mke wa mtu, unaweza kuwa unafuatiliwa ili uuliwe fala wewe.
2. Usitumie gari yako inayofahamika, chukua Taxi, UBER, bajaj au bodaboda kuku wewe.
3.Usiandikishe jina...
kama ikipita muda hamjanisoma ndugu zangu basi muanze kunisaka maeneo mbalimbali maana si kwa hali hii nliyo nayo. huyu dada amekuja ofisini kwangu kavaa nguo inabana halafu camel toe inaonekana...
Habari za weekend,
Naimani mko poa wote ok nisiwachoshe sana ni hivi katika pitapita zangu leo nimekutana na hiki kitopic watu walikuwa wanakijadili nikaona sio mbaya kulileta humu jamvini ni...
Kabla ya yote niwaombe mods wasiunganishe Uzi huu pia nieleze ukwel cjawahi kuandika bandiko lolote humu jf zaidi ya kusoma Riwaya kule entertainment pia habari za michezo
Niende kwenye mada juzi...
Msimu huu wa giza, Alafu umeme wenyewe wa Changama, kama mnavyojua kwenye giza ndipo kuna mambo mengi yanatokea,
Hivi ukiila/Kuichakata tigo bila kujua Nayo ni Dhambi wakuu?
Cc Zero IQ.
Mabaharia wenzangu, acheni tu wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petroli au dizeli.
Kaka kaniachia gari lake, yeye yupo nje kikazi toka mwezi wa tatu mpaka sasa navyoandika ujumbe huu.
Cha...
2 Indisputable Reasons Why People Cheat in Relationship or Marriage and its Solutions
Men cheats. Women cheats also. It's not about who does it more or less, it's about preventing this from...
1. Unashea nae ATM Card zako
2. Unampa ' Passwords ' zako za mambo mengi
3. Unamshirikisha kwa 99.9% katika Mipango yako ya Kimaendeleo
4. Hakupi Penzi / Tendo la Ndoa mpaka ' Mizimu ' yake iamue...
Hivi nyie wadada huwa mna maana gani?
Mnapo tongozwa alafu unamuuliza mwanaume"UNA MPENZI"ivi huwa mnategemea jibu gani?
Au unataka aseme yeye ni BIKIRA?
Kwa leo naishia hapa kesho nitaendelea tena
Amani iwe kwenu wana if.
Mimi ni mgeni humu jf japo nimekuwa mfuatiliaji wake kwa muda sasa, nashukuru kwamba panaelimisha na kuburudisha si haba.
Niende kwenye pointi ;Kuna tabia ambayo wadogo...
Assume una 26 yrs na umekutana na mwanamke aliyekuzidi 10 yrs na anawatoto 2 akakupenda na anataka muanze kutafuta maisha pamoja.
Hii imekaaje mabaharia?
Msaada tafadhalii. [emoji797]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.