Mpenzi wangu wa zamani ananipa mawazo

Mpenzi wangu wa zamani ananipa mawazo

Status
Not open for further replies.

QUEEN84

Member
Joined
Aug 6, 2019
Posts
7
Reaction score
15
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina x wangu kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,(nae ameoa na watoto wawili)........Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa....nifanyeje???
Umesahau nini kutoka kwake?
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina x wangu kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,(nae ameoa na watoto wawili)........Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa....nifanyeje???
Utajishushia utu wako buree tu. Hakuna utachopata zaidi unaweza kupoteza ndoa yako.
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?

Sitaki kukuhukumu, ila nikuhakikishie kitu kimoja kwamba safari hii mwisho wake ni mateso sana kwako, mme wako, watoto wenu, viongozi wa dini na wazazi wenu!

Ndo iliyonifanikiwa ni kuchagua kupenda hata kama hujisikii, hiyo ni mihemko tu ya mwili na upumbavu, chose to stick with your hub!
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
Watu wanajifanya wakali kama hawapashagi viporo shenzi zenu, wote mnachepuka msijifanye malaika. wengine mnakomenti mkiwa viunoni mwa mchepuko😡
 
Kwann watu wanapotoa threads zao mnaishia kuwatukana na kuwakashifu, mbona hili jukwaa limekua na maneno machafu tofauti na majukwaa mengine.

Kama huna cha kumshauri ni kher mkaa kimya kuliko kumtolea mapovu jaman kuweni waungwana jiulize HV angekua ndo rafik ako anakufata umpe ushaur mngeishia kumtukana, hembu turejeshen heshima ya Jf ya miaka hiyo majukwaa yalikua full respect na upendo wa hali ya juu sio sasa mmezidisha matus na mizaha mada hazijadiliw mnaishia kumsakama mtoa post

Ninavyo wajua mapovu mtaamishia kwangu, poa mbadilike jaman
 
majamaa yanajikuta kina ibrahimu, yoseph humu.

khali ya kawaida iyo huna kosa kumuelewa x wako sema kumbuka kuna mtu kakuamini na kakuweka ndani usimvunje moyo jitahidi kuzuia matamanio hayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom