Gari la Kaka linanipa Wanawake wengi

Gari la Kaka linanipa Wanawake wengi

anobreezy

Member
Joined
Oct 9, 2018
Posts
80
Reaction score
67
Mabaharia wenzangu, acheni tu wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petroli au dizeli.

Kaka kaniachia gari lake, yeye yupo nje kikazi toka mwezi wa tatu mpaka sasa navyoandika ujumbe huu.

Cha ajabu wanawake hawachomoi, sio wake za watu wala wanachuo. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kuna kitu waliongea kuhusu gari au mtalam Zero IQ unasemaje.
 
[emoji23][emoji23] mabaharia wenzangu... Acheni tu lakini wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petrol au diseal.

Bro kaniachia gari lake yey yupo nje kikaz toka mwezi march mpaka sasa navyoandika uzi huu. Cha ajabu madem hawachomoi sio wake za watu wala wanachuo wala wakina mwajuma ndala ndefu. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kunakitu waliongea kuhsu gari. Au mtalam Zero IQ unasemaje.

Hicho ndio kisu cha warembo....hachomoki.
 
[emoji23][emoji23] mabaharia wenzangu... Acheni tu lakini wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petrol au diseal.

Bro kaniachia gari lake yey yupo nje kikaz toka mwezi march mpaka sasa navyoandika uzi huu. Cha ajabu madem hawachomoi sio wake za watu wala wanachuo wala wakina mwajuma ndala ndefu. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kunakitu waliongea kuhsu gari. Au mtalam Zero IQ unasemaje.
Uo ni ujinga unaou uongea bila aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom