Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Nikizungumza From experience ya zaidi ya Miaka 15, uzoefu wa wanawake niliowahi kuwapenda ambao wapo Sita.. Nimekuja na hitimisho moja hivi..
Hitimisho lenyewe ni Kwamba waliosema True love never die yaani mapenzi ya kweli hayafi ni waongo.. huu usemi hauna uhalisia hata kidogo labda huenda kwa zama hizo ambazo sisi hatukuwepo..
Ni sawa na zama zile wakatoliki walipokuwa na usemi wao wa Kilatini Extra Ecclessiam Nulla Salus yaani Nje ya Kanisa hakuna Ukombozi.. Jinsi ulivyokuwa wa uongo au tuseme jinsi ambavyo hauwezi ku-apply kwenye dunia ya sasa!
Sasa kwenye suala la mapenzi mimi niwaambie tu ule ukweli Mapenzi yanakufa vizuri tu.. wale mademu niliokuwa nawapenda Kinoma Noma enzi hizo sahivi sina hisia nao kabisa.. na wengine ambao nakutana nao naendelea kuwapenda fresh.. ila kinachobaki ni kwamba tu uliwahi kumpenda!
Niamini mimi hisia hazidumu.. hisia zinakufa, kwahiyo kama kuna mtu unampenda sana ujue ipo siku hisia zake au zako zitakufa juu yake!
Hata nadhani baadhi yetu sisi ni mashahidi katika kushuhudia baadhi ya mapenzi ambayo tulidhani ni ya kweli yakifa kwa kishindo na watu hao kukosa Hisia kwa kila Mmoja!
Neno Kutoka Kwangu: Tunapopenda huwa tunadhani ama kufikiri kwamba huyo mtu ameumbwa kwa ajili yako.. kwa bahati Mbaya Uhalisia haupo hivyo!
I stand to be Corrected!
KHAN
Hitimisho lenyewe ni Kwamba waliosema True love never die yaani mapenzi ya kweli hayafi ni waongo.. huu usemi hauna uhalisia hata kidogo labda huenda kwa zama hizo ambazo sisi hatukuwepo..
Ni sawa na zama zile wakatoliki walipokuwa na usemi wao wa Kilatini Extra Ecclessiam Nulla Salus yaani Nje ya Kanisa hakuna Ukombozi.. Jinsi ulivyokuwa wa uongo au tuseme jinsi ambavyo hauwezi ku-apply kwenye dunia ya sasa!
Sasa kwenye suala la mapenzi mimi niwaambie tu ule ukweli Mapenzi yanakufa vizuri tu.. wale mademu niliokuwa nawapenda Kinoma Noma enzi hizo sahivi sina hisia nao kabisa.. na wengine ambao nakutana nao naendelea kuwapenda fresh.. ila kinachobaki ni kwamba tu uliwahi kumpenda!
Niamini mimi hisia hazidumu.. hisia zinakufa, kwahiyo kama kuna mtu unampenda sana ujue ipo siku hisia zake au zako zitakufa juu yake!
Hata nadhani baadhi yetu sisi ni mashahidi katika kushuhudia baadhi ya mapenzi ambayo tulidhani ni ya kweli yakifa kwa kishindo na watu hao kukosa Hisia kwa kila Mmoja!
Neno Kutoka Kwangu: Tunapopenda huwa tunadhani ama kufikiri kwamba huyo mtu ameumbwa kwa ajili yako.. kwa bahati Mbaya Uhalisia haupo hivyo!
I stand to be Corrected!
KHAN