Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Poleni na misukosuko ya kusaka mkate wa kila siku hasa katika kipindi hiki ambacho asilimia kubwa ya rasilimali za nchi zinaelekea katika ujenzi wa miradi mikubwa! Juzi niliona post bwana mdogo...
29 Reactions
145 Replies
14K Views
asalaam wana jamvi nina jambo hua kila siku nawaza nakosa pa kuuliza, hivi ndugu zangu mashekhe hua mnaambiwa muoe kwa lazima mbona mna uthubutu sana kwenye hili jambo, au wanawake kwenu si kama...
8 Reactions
139 Replies
12K Views
Samahani wanajamii wa Tz, naomba kuuliza kama kuna mtu anafahamu, JE naweza funga ndoa ya bomani na mtu asie mtanzania!!
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Je ni kweli kuwa wanakuwa si watamu? Karibuni
2 Reactions
89 Replies
13K Views
Hizi alama za shuleni zimekuwa zikitafsiriwa ndivyo sivyo kuwa ndio mafanikio pekee kwenye maisha ya wanafunzi mashuleni na vyuoni kabla hawajaingia rsmi mtaani, Vuta picha wewe ulipokuwa shuleni...
0 Reactions
3 Replies
738 Views
Agnes binti mrembo alikutana na Paul kwenye school picnic Paul akiwa kiwa form six na ile picnic iliandaliwa kuwapa relaxation kabla ya mitihani. Agnes alikuwa form five. Waliendelea na...
7 Reactions
52 Replies
6K Views
Habari wanaJF, Nimekutana na mkasa wa mwanadada aiyejikuta amekuwa msagaji kwasababu ya kufungiwa sana na wazazi wake. Katika ukuaji wangu wazazi wangu hawautaka kabisa kuniona karibu na...
8 Reactions
76 Replies
17K Views
Nimepata dharura ya kikazi nje ya kwenda nje ya mkoa niliopo... Nimepanga kushukia lodge nikae huko kwa muda wa siku zote nne maana mkoa ninao enda sina ndugu, jamaa na marafiki wa kawaida ila...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Haya majukumu nilikueleza kuwa siyawezi? Tumetoka kula ugali na mlenda luxury dagaa kwa muda mrefu huku pango la nyumba ukinibembeleza nikope kwa shost utarudisha. Leo hii maisha yamebadilika...
9 Reactions
34 Replies
3K Views
Sasa ndio naanza kuuelewa huu msemo, huyu mtoto wa diwani na Baba yake soon. Loading.................! Cc Zero IQ
1 Reactions
8 Replies
905 Views
1. Ukimuongelesha tu anawahi kukukasirikia tena anakimbilia kusema muachane 2. Kuwa na marafiki wengi wa kiume, ukiona kwako wanaletwa wageni wa kiume ujue unaibiwa peupe. 3. Wanapenda vitu vya...
6 Reactions
36 Replies
9K Views
Kuna kitu kinaitwa nguvu ya mvuto, lakini pia huenda mmeshawahi kusikia au kusoma kitabu kinachoitwa The Secret. Ni kitabu kizuri sana kinachoeleza kwa kirefu na kwa lugha nyepesi inayoeleweka...
14 Reactions
59 Replies
15K Views
Wanawake mnahusika kujibu kama nanyie mnatuonaga twavutia baada ya kutemwa yaani mnapotuacha tunazidiga kupendeza? au ni sisi tu vibeberu. Tuelezee kidogo ulijisikaje, au unajisikiaje...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Mpendwa bila shaka umeamka salama. Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa...
4 Reactions
42 Replies
12K Views
"Baby nina mimba yako" jibu kama mwanaume wa shoka
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Jamaa yangu alichukua demu wana kama miaka miwili sasa. Kumbe demu kaungua na alikuwa tayari kwenye tiba ila alimficha jamaa yangu asijue. Sasa wote wawili ni waathirika. Lakini naamini yote ni...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie... Mi huwa nawatazama kwa...
10 Reactions
69 Replies
8K Views
Dada zangu mambo?? Leo nipo idle tu sina campan hapa afu nataman sana niwe na mrembo wa kupiga nae story hapa kwangu, sasa daah yoyote atakae fill kuja tupige story mpaka mida flan ya mishale...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama hamtabadilika mtaishia kupata frustrations enyi wanaume ambao hamuendi na wakati. Maana kila siku mtakimbiwa na wake Kazi za kupika, kufua nguo, kudeki nyumba/choo, kuosha watoto na...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Eti nasikia wanawake wengi duniani kuliko wanaume mbona kila demu ukimfuata anakuambia nina mtu wangu Hao wanawake waliozidi idadi wapo wap
1 Reactions
16 Replies
966 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…