Ushauri wa haraka

Ushauri wa haraka

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,027
Reaction score
4,308
Nimepata dharura ya kikazi nje ya kwenda nje ya mkoa niliopo... Nimepanga kushukia lodge nikae huko kwa muda wa siku zote nne maana mkoa ninao enda sina ndugu, jamaa na marafiki wa kawaida ila nina mwanamke ninae tarajia kumuoa hivi karibuni nae anaishi na mama yake kwa sasa. Nime mshirikisha nimetumwa kikazi kuja mkoani kwenu bt nashukia lodge. akaongea na mama yake amruhusu ni shukie kwao kwa muda wa siku zote hizo nitakazo kuwepo huko.. je, naombeni ushauri wa haraka ni kubali kushukia kwao au nijikaze kibishi ni kakae lodge kwa muda wote huo.. naombeni ushauri wenu wakuu maana pale ni ukweni hili jambo lina maadili kulingana na tamaduni za Mtanzania??
 
Nimepata dharura ya kikazi nje ya kwenda nje ya mkoa niliopo... Nimepanga kushukia lodge nikae huko kwa muda wa siku zote nne maana mkoa ninao enda sina ndugu, jamaa na marafiki wa kawaida ila nina mwanamke ninae tarajia kumuoa hivi karibuni nae anaishi na mama yake kwa sasa. Nime mshirikisha nimetumwa kikazi kuja mkoani kwenu bt nashukia lodge. akaongea na mama yake amruhusu ni shukie kwao kwa muda wa siku zote hizo nitakazo kuwepo huko.. je, naombeni ushauri wa haraka ni kubali kushukia kwao au nijikaze kibishi ni kakae lodge kwa muda wote huo.. naombeni ushauri wenu wakuu maana pale ni ukweni hili jambo lina maadili kulingana na tamaduni za Mtanzania??
mie Nawaona hata waliooa kabisa hawafikiagi ukweni... Kaa lodge mkuu

Kufikia kwa watu ni shida usijizoeshe mkuu
 
Unaweza kufikia kwao kama utakuwa unaacha fungu la maana ili kulinda heshima yako;tofauti na hapo nenda lodge.
 
Nashukuru sana kwa wote mlio nipa ushauri weni nitaufanyia kazi ipasavyo
 
Inavoonekana huyo mkeo mtarajiwa unamripotia hadi kwa siku umeatendi msalani mara ngapi.

Kakae lodge ila ni muhimu kufika ukasalimia na kuaga pia

Kwani vibaya kutoa report wapi upo na nani na utarudi saa ngapi kwa mwenzi wako??
 
Kila siku zinavyozidi kwenda hii jinsia inakumbwa na dhoruba. Hata ujasiri wa kuomba tuu ushauri wa hivii sijui unautoa wapi?
 
Acha ujinga mkuu.
Ukweni sio kwenu.
Mimi nimeoa lakini ukweni huwa silali Kama Nina safari zangu.
Kama naenda kuwasalimia wao Ni siku mbili Ni nyingi Sana.!!
Mwanaume na kende mbili unafikiriaje kufikia ukweni?
Aafu hata hujaoa?
 
Yaani uanaume watu wanazidi kuupoteza.
Miaka ijayo watu watakuwa wanaolewa na wanawake!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom