Habarini wakuu,
Kuna dada mmoja mzuri sana shombeshombe tunakaa nae mtaa mmoja. Ameamia hivi karibuni, anaishi mwenyewe. Nimetokea sana kuvutiwa nae, angalau niwe karibu nae, tuwe tunabadilisha...
awali ya yote naomba mlio karibu na "gavana" mfikishieni ujumbe kuwa hiyo kanzidata(database) yake anayofiikiria kuijenga ambayo itatumika kuhifadhi taarifa za wanandoa haitakuja kusaidia kitu...
Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la
inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi
Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia...
Nilishamwambia mapema haya mambo yanataka moyo wa chuma, ukiwa na moyo
laini wa kike hayafai kabisa. Siku 7 tu na mwili umenywea. Hizi ni meseji ambazo zimemfanya
jamaa mpaka leo asirudi kwa...
*BARUA*
Kwako
*Alumni wa Bwiru boys*
Salaams nyingi zikufikie popote ulipo zenye rehema na upendo juu yako. Natumai umzima wa afya na unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku za...
Ndugu zangu habari zenu, niko singida lakini natafuta soko la kuku mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, ikiwa uko na mtu ana uhitaji au wewe mwenyewe please DM me. Nitakuletea hadi mlangoni kwa idadi...
Habari za jioni wana MMU. ..
Moja Kwa Moja ngoja niende kwenye mada aisee...
Ama kweli jamani dunia hadaa Ulimwengu shujaa....
Aiseeee lazima upitie foolish stage then akili ikomae ndio ujue...
Wakuu ,naleta Uzi huu kwawadada wadada wa chuo ,wanaringa sana ,wanazingua sana ,wengi wapo kimaslahi zaidi
Mwaka jana rafiki yangu amelizwa na demu wa chuo hivi hivi,wadada wa chuo ringeni sana...
Mke asipotoa (tendo), tayari kunakuwa na hisia, anatoka nje ya ndoa. Vivyo hivo kwa mume asipotoa.
Je huu ndio muhimili pekee wa kudumisha ndoa?
Je pasipo tendo hamna ndoa?
Toka nimemwoa ni mwaka wa tano huu. Kiuhalisia nimeshindwa nmeona bora niombe tu ushauri.wife ni mvivu sana.sana.sikatai ni mrembo kiuhalisia ukiangalia rangi,umbo n.k ipo pia.
Lakini sasa. Ni...
Binafsi condom sizikubali sana na Mood ya game huwa inakata kama demu ataning'ang'aniza nitumie hiyo kitu. Kiufupi me so mtumiaji wa hayo madude, Ni mimi tu ambae sizikubali au wwngine mpo??
Niko bar flani hapa Morogoro mitaa Jirani na chuo cha LITI
Jirani kuna demu hapa anakunywa pombe Kali(K-vant) chupa kubwa tena anajimiminia kama maji
Mkononi ana sigara SM
Mtoto yuko poa...
hai wana jf najiuliza maswali nashindwa kujijibu naomba mnisaidie kuna dada mmaja ambaye alikaa miaka 4 bili kuwa kwenye mahusiano na siyo kwamba hatongozwi bali nikupata mwenzi wa maisha na siyo...
Wanajukwaa hapa kwa sasa nipo kwenye hali TETE sijui naanzia wapi namalizia wapi na sijui la kufanya. Nimetulia oficin nikapokea txt iliyoandikwa hivi "NAOMBA UKAE MBALI NA MKE WANGU KABLA...
Sorry wanaJamii forums kama ntakuwa nimeenda kinyume na utaratibu. naomba kuuliza ivi nihalali wanandoa au wapenzi kunyonyana sehem zao za siri? Kwaanayefahau naomba anijibu kwa mktadha wa kidin
Kama unataka yadumu na kumpendeza Mungu basi msifanye sex!
Kama mnapendana msubiriane hadi muoane ili muwe na sex yenye baraka!
Asanteni sana, na kama sauti haitoshi mseme niongeze.
Inasemekana mwanaume akienda kwa mganga, basi ameenda kwa maswala ya kikazi au biashara zake....kwa kifupi anaenda ili apate pesa...
Lakini inasemekana MWANAMKE akienda ugangani, anaenda ili...