Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Dear Married (and Singles who love to learn) 0. Sometimes you just want affection, attention and everything between or that follows but not from your spouse. 1. This is not because your partner...
2 Reactions
3 Replies
815 Views
Weekend hiloo, wanajukwaa embu nipeni mbinu matata nimwache hyu bidada yani aumie kisawasawa alie kisawasawa na ofcoz amejaa sana kwangu. Why? Hyu dem wkt nakutana nae 2months ago alinambia yuko...
3 Reactions
75 Replies
7K Views
VUNJA AGANO NA MCHUMBA ULIYEACHANA NAYE. Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu yangu. Jifunze kitu kwenye ujumbe huu. Baadhi ya Vijana na mabinti hupata wachumba kisha baada ya muda wanaachana...
7 Reactions
29 Replies
7K Views
QUALITIES OF AN IDEAL HUSBAND Many women spend their lives looking for a good husband, even parents won't sleep peaceful until they feel that their daughter is with a good man. BE PLEASANT No...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za mda huu wana jf Ipoo hivi kuna mdada mmoja hvi ni mzuri kinoma yaani mzuri haswa bwana churaa ndo usipimee. Kidume nikajitoa ufahamu nikamfuta manzi kumuongelesha tuu kujibu tabu...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kuna kipindi fulani nilisitisha maswala ya mapenzi kwa muda mrefu tu ili kupisha baadhi ya maswala yangu yaende sawia kama ninavyotaka. Pia ilitokana na ushauri niliopewa na daktari wangu. Kwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Hi JF. Kuna jirani muda huu ngumi zinarindima nasikilizia dirishani jamaa alinyata kwenye chumba cha beki tatu.Bint kapiga kelele kimenuka[emoji2] [emoji41] Mama mwenye nyumba kawaka hapalaliki...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hello JF, Ebana kuna jamaa angu kaja kuniomba ushauri,ana mpenzi wake ambae alitaka amuoe mwishoni mwa mwaka huu,huyu binti kamaliza chuo ifm juzi juzi tu hapa,Sasa jamaa anashangaa jana binti...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
EVERY WOMAN SHOULD READ THIS. 1. Don't be in a hurry to move out of your parents house. It's easy to move out but very hard to come back if things goes wrong. Always be sure before leaving. 2...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za kazi wakuu, kwanza napenda kutoa uzi huu nikiwa na majonzi makubwa kweli, kwani mahusiano yangu yamevunjika kizembe sana japo kuna wakati najipa moyo kuwa ni ujasiri... Mpenzi wangu...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Nikiwa napiga story na mashost zangu akapita kaka ni rafiki yangu sana akaniambia nipande gari nimpe kampani kwani kunadocument anaenda kuchukua nyumbani kwake afu tutarudi wote. Tulipofika...
8 Reactions
384 Replies
37K Views
Wakuu kabla yayote niwasalimu kwanza, Habari zenu? Baada yakusaliti vyama vyangu(CHAPUTA na CHAMATA) na kwa ushauri wenu wana JF, nimefaanikiwa kumrowa mtoto mkali na mpaka sasa tuna miezi miwili...
2 Reactions
145 Replies
22K Views
Wakuu hapa nilipo nina miaka 29. kwa bahati mbaya bado nakaa kwa wazazi lakini ninajitegemea kwa mambo mengi isipokuwa malazi tu. Nilikuwa nimepanga naishi mwenyewe lakini niliingiliwa na wezi...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za Saa hizi wakuu? ifuatayo ni orodha ya tabia mbaya wanazozifanya wapendanao;- 1/Kuzungumzia udhaifu wa mpenzi wako kwa watu wengine ni Tabia mbaya... 2/Kushindwa kumaliza tofauti zenu...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki...
11 Reactions
63 Replies
4K Views
Nawasalimu ndugu zangu,jamaa zangu,rafiki zangu washirika wenzangu na hata adui zangu kama wapo, najivunia kuwa mwana Jf kwa maana yakuniondoa kwenye upweke na kuniunganisha na jamii, kunipatia...
0 Reactions
9 Replies
899 Views
Jaman sijui ni wivu wangu tu au sielewi Iko hivi ninaishi na mme wangu ni muda Sasa.... Ijumaa last week nilisafir kuja nyumban kwetu mama anaumwa ambapo ni mkoa mwingine na ninapoishi na mme...
3 Reactions
60 Replies
6K Views
Habari wana JamiiForums Ni ukweli usiopingika kuwa toka nijiunge na jamii forum nimekuwa siyo mchangiaji mkubwa sana kwenye masuala mazima yanayohusu mahusiano hasa kwenye upande wetu wa akina...
10 Reactions
79 Replies
6K Views
.......inaongeza upendo..pia Inakufanya utengeneze CHEMESTRY kubwa sana. Tujifunze kuwanyonya kwapa wapenzi japo Mara Moja Kwa wiki
1 Reactions
46 Replies
10K Views
Nimfanye nini mke wangu huyu? Naombeni ushauri kwani nimegunduamke wangu amepata mchepuko kiasi kwamba ameanza kuwa na katabia ka udanganyifu. Nimemchunguza sana ktk cmu yke nikakuta msg...
1 Reactions
57 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…