BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
Weekend hiloo, wanajukwaa embu nipeni mbinu matata nimwache hyu bidada yani aumie kisawasawa alie kisawasawa na ofcoz amejaa sana kwangu.
Why? Hyu dem wkt nakutana nae 2months ago alinambia yuko single, siku akajimix alinipa nimshikie cm yake nikakuta calls za kutosha kumbe hyo alikuwa ex wake aliye mbwaga. Nikazama Dm nkakuta jamaa analia sana umeniacha bila kosa nashukuru mara huwez pata mwanamme mwenye true love kama mimi, nikacheka kimoyomoyo jamaa umejuaje??
Ofcourse sikupenda kitendo cha dem alichofanya afu sikupenda kuona baharia mwenzangu analia vile, mpaka sasa jamaa anamtafuta demu. Hyu dem me nishamchoka hana jipya la kunipa sahivi. Nataka na yeye aliye kama alivolia jamaa ake. Yan kamwacha jamaa ake mwenye true love kadata kwangu.Mabaharia hyu dem ili aumie kisawasawa ikiwezkana asinisahau kabisa. NIFANYAJE??
Why? Hyu dem wkt nakutana nae 2months ago alinambia yuko single, siku akajimix alinipa nimshikie cm yake nikakuta calls za kutosha kumbe hyo alikuwa ex wake aliye mbwaga. Nikazama Dm nkakuta jamaa analia sana umeniacha bila kosa nashukuru mara huwez pata mwanamme mwenye true love kama mimi, nikacheka kimoyomoyo jamaa umejuaje??
Ofcourse sikupenda kitendo cha dem alichofanya afu sikupenda kuona baharia mwenzangu analia vile, mpaka sasa jamaa anamtafuta demu. Hyu dem me nishamchoka hana jipya la kunipa sahivi. Nataka na yeye aliye kama alivolia jamaa ake. Yan kamwacha jamaa ake mwenye true love kadata kwangu.Mabaharia hyu dem ili aumie kisawasawa ikiwezkana asinisahau kabisa. NIFANYAJE??