Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wanaJF Mimi kama baharia mzoefu nasikitika sana nimeshindwa kuelewa hili swala kwa upana.. kumejitokeza wimbi la wadada huko Instagram wakidai kutafuta wenza, wachumba wa kuishi nao wengi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari wakati mwingine mambo yanaweza kutokea mpaka usipate jibu. Ni kwamba nipo katika mahusiano na single mother na ana mtoto mkubwa wa kike miaka 18+ na mtoto anajua mahusiano yetu...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Jamani Huyu kiumbe ananichanganya kweli, nilichapa kweli na ni kavu kavu ila sasa ni hivi, Ana mwezi wa pili huu Siku zake hajaziona ameshapima Mimba zaidi ya mara 2 na zile UPT zao mbele yangu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu mie sijui wapi nafeli mwenzenu yaani ubaharia unanishinda kabsa. Nipo maeneo fulani ya Morogoro ndio msimu wa mavuno baa zote zimejaa malaya tu yaan wadau wanajipigia tu mbuye hizi ila...
11 Reactions
127 Replies
20K Views
RAFIKI Kama umezoea wakubwa wenzio basi hebu usijaribu kutongoza hawa mabinti wa chini ya miaka 20 Nilimtokea mmoja miezi kadhaa ilopita na mambo yakawa hivi 1. Kwanza amekubali baada ya wiki 2...
20 Reactions
123 Replies
17K Views
Huwanajiuliza ni kwanini mara nyingi nimeona nikiingia na wanaume chumbani kufanya tendo lazima wajisaidie haja kubwa, sio kwangu tu wanawake wengi wanakiri hivo
6 Reactions
92 Replies
9K Views
Matata K. If you love her, please tell her face to face If you love her, don't make her cry If you love her, assure (you can even lie) that your love is gonna last forever... (Feels better) If...
1 Reactions
1 Replies
993 Views
Aslaam Aleikyum wakubwa..Leo sitaandika Ngareroo slangs maana naomba maombi yenu wakuu. Siku moja nilienda na Chaliangu mgahawani hapa hapa Ngarenaro kupata supu,ilikua kama mida ya saa3:30 hivi...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
*wadada mnaochukuliwa wapenzi wenu fanya yafuatayo utakuja kunishukuru* *Nunua kifurushi kwenye simu ya mpenzi wako kisha mpigie simu uyo mchepuke ujitanbulishe kama dada wa mwenye cm kisha...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za Jumapili wakuu. Niende kwenye mada. Kama kichwa cha thread kinavyosema, ni kweli yule bint ameolewa. Let me take you to the story behind. Ni kisa kinachonihusu mimi mwenyewe. Mimi ni...
22 Reactions
52 Replies
6K Views
wanawake wengi wanatabia hii, haijalishi yupo katika ndoa/strong relation mkifuatwa na wahitaj wengine huwa mnawapa nafasi, na kabla hamjanasika hua hamsemi nachojiuliza hua hamjui madhara ya hii...
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Habari za jioni wakuu, naamini mu wazima wale ambao hawapo vizuri nawaombea Mungu awape shifaa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimechunguza wanawake wengi wenye sura nzuri wana sauti mbaya...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Wadau; Hii nimeipata mahali kwa hisani ya Mwanasaikolojia Chris Mauki. Nini maoni au uzoefu kwa wale waliopitia au wenye ndugu waliopitia hii hali? Madhara ya kuwapeleka watoto shule za bweni...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakati wa kurudi rafiki yangu mmoja aliniambia kuna kitu inabidi tukitumie....nikamuuliza nini akanionyesha bangi mguuni kwake iliyokuwa kwenye soksi. Alivyonionyesha nilishtuka sana lakini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wanawake walio wengi hawana upendo na ndugu wa waume zao. Ilikua siku moja hivi nimekaa na mzee mmoja mjeshi mstaafu akawa ananiambia tabia za wanawake kutowapenda ndugu wa mume. Akaanza kwa...
7 Reactions
32 Replies
4K Views
Habarini wana jamvi, Wiki hii kuna ticha mmoja huko Shinyanga kaamua kuachana na UBAHARIA, na kumpeleka manzi wake wa siku nyingi kumtambulisha kwao. Jamaa akajua akifika home hawezi kula mzigo...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari ..wapendwa Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nipo Dodoma nimeajiriwa, Na itaji mwanamke chini ya miaka 30 sitajali Ana watoto au mtoto awe anapenda utani ,sichagui kabila au rangi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nianze kwa kutanguliza salamu Nina imani kubwa kuwa umesikia kihusu maswala yahusuyo nyota ya binadamu mara nyingi.Swali la msingi apa ni kuwa kuna uhalisia wowote katika hili. Imani yangu ni...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Mko Poa wadau Nina dada yangu toka nitoke yani hapendi kuona nafanikiwa ,ni mnafiki ukiwa nae anajifanya mtu mwema sana kwako kumbe ukimpa tuu Mgongo maneno chungu nzimaa, na Hila za wazi wazi...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Vipi wapenzi! Kuzama chumvini au via vya uzazi limekuwa jambo la kawaida kwa wapenzi wengi na usipofanya hivyo Unaonekana mshamba .Sasa kujua kwa watu kabisa Je kunyonyana na kurambana k*m na...
1 Reactions
81 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…