plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,395
- 1,439
*wadada mnaochukuliwa wapenzi wenu fanya yafuatayo utakuja kunishukuru*
*Nunua kifurushi kwenye simu ya mpenzi wako kisha mpigie simu uyo mchepuke ujitanbulishe kama dada wa mwenye cm kisha mwambie;*
*"Nashkuru sana kwa kumfanya kaka yangu atambue kuwa kuishi na UKIMWI sio mwisho wa maisha sabab alikuwa anadhani hatapata mpenz kwa ugonjwa alionao"*
*hapo kazi umemaliza kaa kwenye sofa kunja nne*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*Nunua kifurushi kwenye simu ya mpenzi wako kisha mpigie simu uyo mchepuke ujitanbulishe kama dada wa mwenye cm kisha mwambie;*
*"Nashkuru sana kwa kumfanya kaka yangu atambue kuwa kuishi na UKIMWI sio mwisho wa maisha sabab alikuwa anadhani hatapata mpenz kwa ugonjwa alionao"*
*hapo kazi umemaliza kaa kwenye sofa kunja nne*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]