Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

wanawake wengi wanatabia hii, haijalishi yupo katika ndoa/strong relation mkifuatwa na wahitaj wengine huwa mnawapa nafasi, na kabla hamjanasika hua hamsemi nachojiuliza hua hamjui madhara ya hii...
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Habari za jioni wakuu, naamini mu wazima wale ambao hawapo vizuri nawaombea Mungu awape shifaa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimechunguza wanawake wengi wenye sura nzuri wana sauti mbaya...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Wadau; Hii nimeipata mahali kwa hisani ya Mwanasaikolojia Chris Mauki. Nini maoni au uzoefu kwa wale waliopitia au wenye ndugu waliopitia hii hali? Madhara ya kuwapeleka watoto shule za bweni...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakati wa kurudi rafiki yangu mmoja aliniambia kuna kitu inabidi tukitumie....nikamuuliza nini akanionyesha bangi mguuni kwake iliyokuwa kwenye soksi. Alivyonionyesha nilishtuka sana lakini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wanawake walio wengi hawana upendo na ndugu wa waume zao. Ilikua siku moja hivi nimekaa na mzee mmoja mjeshi mstaafu akawa ananiambia tabia za wanawake kutowapenda ndugu wa mume. Akaanza kwa...
7 Reactions
32 Replies
4K Views
Habarini wana jamvi, Wiki hii kuna ticha mmoja huko Shinyanga kaamua kuachana na UBAHARIA, na kumpeleka manzi wake wa siku nyingi kumtambulisha kwao. Jamaa akajua akifika home hawezi kula mzigo...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari ..wapendwa Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nipo Dodoma nimeajiriwa, Na itaji mwanamke chini ya miaka 30 sitajali Ana watoto au mtoto awe anapenda utani ,sichagui kabila au rangi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nianze kwa kutanguliza salamu Nina imani kubwa kuwa umesikia kihusu maswala yahusuyo nyota ya binadamu mara nyingi.Swali la msingi apa ni kuwa kuna uhalisia wowote katika hili. Imani yangu ni...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Mko Poa wadau Nina dada yangu toka nitoke yani hapendi kuona nafanikiwa ,ni mnafiki ukiwa nae anajifanya mtu mwema sana kwako kumbe ukimpa tuu Mgongo maneno chungu nzimaa, na Hila za wazi wazi...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Vipi wapenzi! Kuzama chumvini au via vya uzazi limekuwa jambo la kawaida kwa wapenzi wengi na usipofanya hivyo Unaonekana mshamba .Sasa kujua kwa watu kabisa Je kunyonyana na kurambana k*m na...
1 Reactions
81 Replies
13K Views
Hili ni la kushangaza sana Two couples in Busia County have left locals of Siroba and Namuchula villages in Matayos and Butula Constituencies in utter shock after they swapped partners. The two...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
WANAUME ACHENI KUPIGA WAKE ZENU.
6 Reactions
256 Replies
15K Views
Habari zenu wadau wa jamvi hili?Hopefully mko yechu. Kuna mamiloo bhana tulikutana Instargram tukayajenga mapendo Catholic hakuruka swagiree za mjuba akajaa. Sasa Leo nimemtumia Elfu30 ya nauli...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mie buana nina demu wa kihehe, huyu demu namuelewa sana. Ni manzi fulani hivi ukimuona unasema kabisa ama kweli Mungu fundi. Mtoto mrembo sana, ila mie nina mpango wa kumuweka ndani. Ila kabla ya...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo nmepokea mkwanja flani nlikuwa nausubiria kama mwezi hiv.mida flani nikaona text kwenye simu. Kucheck mzigo wote umeingizwa kwenye account yangu. Nikasema Siku imekuwa Mashallah. Basi mida...
10 Reactions
28 Replies
3K Views
Mambo vp habari za weekend? Bana ipo hivi nina Mpenzi wangu wote we are employed sasa Kwa kazi yangu Mimi ni IT Consultant Kwenye kampuni moja hivi mara nyingi nakuwa very busy.. yaani imagine...
14 Reactions
55 Replies
8K Views
Salamu waungwana Mapenzi na mapendo yadumu. Nisichukue muda wako mwingi, ngoja nikwambie moja ya sababu kwanini haupati mume au mke japo umeweka jitihada nyingi katika hili. Hivi hujawahi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa habari zenu Nipo bored sana na maisha ya kuoa na kuishi na mke ,so nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, mwanamke awe anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika dunia tunayoishi kuna watu wamejaliwa kuwa matajiri na wengine ni masikini. Wengine utajiri was kurithi, wengine wamehangaika wenyewe na baadhi wanajua walivyoiba! Wapo mameneja wengine...
11 Reactions
19 Replies
3K Views
Naandika kwa majonzi sana.toka jana usiku sijaweza kulala kutokana na yale yanayoendelea hapa home. Mimi nina miaka 42 nliwahi kuwa na kazi lakini toka mwaka 2016 sipo kazini sababu nlisingiziwa...
21 Reactions
224 Replies
26K Views
Back
Top Bottom