Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 3,040
- 4,291
Mie buana nina demu wa kihehe, huyu demu namuelewa sana. Ni manzi fulani hivi ukimuona unasema kabisa ama kweli Mungu fundi. Mtoto mrembo sana, ila mie nina mpango wa kumuweka ndani. Ila kabla ya kumuweka ndani hebu nisaidieni kuwajua wahehe kiundani. Siwajui wahehe, hasa wanawake wa kihehe tabia zao hasa zikoje.
Naombeni mnipatie sifa zao, kabla sijazama sana. Ujue moyo ukizama sana kuna upofu unaingiaga hapo. Sasa kabla ya kuzama sana, nataka niwajue hawa watu wakoje. Mila zao, ukitaka kuoa kwenye hilo kabila na Pia Maisha yao kiujumla yanakuwaga aje aje hivi.
Natanguliza shukrani[emoji4][emoji4][emoji4]
Naombeni mnipatie sifa zao, kabla sijazama sana. Ujue moyo ukizama sana kuna upofu unaingiaga hapo. Sasa kabla ya kuzama sana, nataka niwajue hawa watu wakoje. Mila zao, ukitaka kuoa kwenye hilo kabila na Pia Maisha yao kiujumla yanakuwaga aje aje hivi.
Natanguliza shukrani[emoji4][emoji4][emoji4]