Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kwa kipindi sasa naimekuwa fashion kubwa sana Mahusiano Mengi kutosimama wala kuwa na hulka ya Heshima tena hasa kama Mnaishi Mbali ila niwambie kitu Mwanamke akianza tabia ya nje hata uwe na hela...
2 Reactions
4 Replies
963 Views
Habari zenu humu ndani. Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa. Sema ukweli nilikuwa nampenda sana...
1 Reactions
92 Replies
11K Views
Kwa masingle mnaweza nishangaa...ila ni kweli kabisa, ndoa sio suruhisho la upweke. Ikiwa ni Mwaka wa tano sasa kwenye ndoa na hatujafanikiwa kupata mtoto maisha yangu yamejaa lots of common...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari zenu wana bodi, Ni kwamba tangu utotoni Nilikuwa na tabia ya huruma kupita kiasi. Mfano mtu akipatwa na tatizo najikuta namhurumia sana mpaka inapelekea niumie sana kana kwamba tatizo ni...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Hivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au?? Toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia...
5 Reactions
78 Replies
8K Views
Mimi binafsi naona hawa wenzetu wa jinsia ya kike swala la kuvunja mahusiano kwao ni kitu cha kawaida sana! Hawaumii km sisi ndio maana haoni hatari kama akipata mtu wa maslahi muda wowote hata km...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Katika tembea tembea zangu mwenyewe nikiwa mpweke, kwambaali nikaona watu wawili Nika ashum wote watakua ni wanawake, hivo basi nikakaza mwendo kidogo ili niwafikie ili angalau nuwasalimie Tu na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Watu wengi walio lonely ambao hawana kazi ndo huwa wanaangaika sana na mapenzi na ikitokea wameachana huwa anaumia sana maana mara nyingi un anakuta unamuwaza Ila kama una mambo yako uko busy...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Ni kama mwezi nimeachana na mchumba wangu sasa moyoni natamani sana nimjue aliyechukua nafasi yangu yani mwanaume mpya wa x girlfriend wangu.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
"Mzee wa kasumba" Ninakabiliwa na matatizo makubwa hasa katika upande wa kusaka ngenya / papuchi / vipochi manyoya. Siku kadhaa zilizopita nilileta UZI wa kudai kuwa Nina upepo wa kuachwa achwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kila mzazi hufurahia mtoto anapofikia umri wa kutambaa na hatimaye kusimama na kutembea. Mtoto anakuwa amepata uhuru mpya unaomuwezesha kutoka sehemu moja kwenda nyingine mwenyewe. Pamoja na...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanaJF, ndugu yenu nashindwa kuelewa nakwama wapi kwani kila nikipata girlfriend hauishi mwaka tushaachana. Kupata mwingine ndio mtihani kabisa. Pia licha ya kuwa na hao girlfriends...
3 Reactions
47 Replies
5K Views
Habari zenu wana jf ... Ana hitaji kuwa barmed kutokana na ugumu wa maisha anao pitia. Anaomba ushauri wenu na ni njia zipi atumie anapokuwa muhudumu kuepuka ku laghaiwa ..Napia anaomba kujua...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Lugha ya picha
5 Reactions
70 Replies
7K Views
Habari wanaJf. Ndugu zangu wana Jf na kwa vijana wenzangu ambao hamjaoa au mnaelekea kufunga pingu za maisha au bado mpo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi/ mchumba. Usijaribu kuanzisha uhusiano...
3 Reactions
51 Replies
6K Views
Kwa kweli kuanzia sasa sitaki niwe na mahusiano na binti aliye chini ya miaka 25, nimekuwa na mabinti wa umri tajwa. Licha ya kuwa na maumbile ya kuvutia na miili iliyostable, kumbe kwenye sita...
18 Reactions
297 Replies
42K Views
TUMPONGEZE MAJAY KWA KUMSUBIRI LULU AKUE STAA wa Bongo Movie, Elizabeth Michael 'Lulu' na CEO wa E Media, inayomiliki redio EFM na runinga ya ETV, Francis Ciza 'Majay', wameshatangaza ndoa...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Wasalaam ndugu, Nahitaji kujua kutoka kwa wale ambao mmeingia katika ndoa lakini mmekulia katika familia ambazo wazazi wenu hawakuwa na maelewano mazuri au walitengana kwa hiyo ikakulazimisha...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
1. Hujifanya yupo tayari kukfanyia lolote hata liwe nje ya uwezo. Hapo b4 hujampa mwili wako. 2. Mwanzoni mkiwa mnawasiliana anajidai hapend ngono na hana haraka nayo. 3. Bingwa wa kukutambulisha...
1 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari naombeni ushauri!!nimekuwa kwenye mahusiano na binti almost miaka minne japo ni dini tofauti yeye muislamu,mimi mkristo!!Tumefanya vitu vingi sana pamoja na kushirikiana katika mengi tu...
1 Reactions
65 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…