joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,052
Habari wanaJf. Ndugu zangu wana Jf na kwa vijana wenzangu ambao hamjaoa au mnaelekea kufunga pingu za maisha au bado mpo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi/ mchumba. Usijaribu kuanzisha uhusiano na wanawake wafuatao:
1. Mwanamke mpumbavu/ mbumbumbu.
2. Mwanamke aliyeachika/ mtalakiwa/ Single mother.
3. Mwanamke ambaye hana elimu.
Ukiangukia katika makundi hayo utateseka maisha yako yote.
1. Mwanamke mpumbavu/ mbumbumbu.
2. Mwanamke aliyeachika/ mtalakiwa/ Single mother.
3. Mwanamke ambaye hana elimu.
Ukiangukia katika makundi hayo utateseka maisha yako yote.