Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wadau nimekuwa natatizo la kisaikolojia (Physichological Effect) Kila anapokatiza mwanamke mwenye Wowowo au makalio Makubwa yani moyo huwa unaenda mbio Sana huku nikibaki namshangaa.... Wakuu...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Sipo kwenye ndoa japo najiandaa kuwa namke. Niwe mkweli nikwamba nimeishapata mtoto wa nje tatizo langu kubwa nikushindwa kufikia maamuzi ya yupi nimuoe. Mdada niliyezaa naye miaka mitatu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu kijana ambae ni kaka mshikaji kiaina kwa sasa baba yake alikua mfanya biashara. Biashara ilianza kunenepa wakati wa awamu wa pili, awamu ya tatu biashara ilikua nzuri kiasi ambacho msure...
14 Reactions
74 Replies
8K Views
Naenda kwenye Maada Juzi tumelala na mwanamke wangu mda huo mimi npo kwenye usingizi mara nasikia saut ya mtu analia nikaamka taratibu nikaona mke wangu yupo kwenye doto akiota anafanya mapezi...
2 Reactions
65 Replies
7K Views
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi Hivi unajickiaje unaruka na...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
Nataka kuvuka boder wakuu kwenda kuemea manzi wa kitusi Sasa sijajua background zao Kwa wale wandugu wanao wajua in out hawa viumbe wa kitusi ebu nipen details zao na behavior zao wakoje maisha...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Ndugu yetu Abdulkarim anaomba msaada wa kimawazo kwenu wadau (masheikh na mapadri) mlioko humu ndani. Yeye alikuwa ni muislam mzuri kabisa aliyefanikiwa kuoa wanawake watatu kama dini yake...
7 Reactions
85 Replies
8K Views
Kwa kweli najiuliza maswali ambayo labda wadau humu mtakuwa na majibu. Mwanamke anatoa wapi na anapata wapi ujasiri wa kuwa na kufuga kitambi? Mwanamke anakosa haya kabisa wala aibu anakuwa na...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Watu wengi walioshi nchi za nje ya Tanzania hata nchi za Africa tu kama sisi wanasema hiki kitu tunacho zaidi watanzania..ni kama utamaduni hivi'' Ntakupa mifano hai ambayo binafsi nimeshuhudia...
45 Reactions
85 Replies
7K Views
Jamaa bila shida kamuachia,haya ni maamuzi yanaitwa ya kiume
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Naombeni ushauri, Kuna mdada fulan nafanya naye kazi, akiniona nasimama na mdada mwingine anakasirika badae ananiita ananiuliza kwanini naongea na Yule dada. Nimemtongoza amekataa ananiambia...
14 Reactions
219 Replies
23K Views
Huyu dada tupo naye ofisini. Of course hana cheo kikubwa lakini anapata kamshahara ka kumwezesha kumiliki gari za Mjapani mbili. Ana Toyota Harrier mnazosema new model na Mark X. Alinambia...
34 Reactions
95 Replies
10K Views
Wakuu naomba msahau mengine yote afu tu concentrate na hii kitu,,wazee wa kuchimbua makaburi tafadhalini sana,haya ni maisha tu na tunapitia na kufanya vitu vingi,,na mkumbuke mimi ni binadamu wa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari zenu wana janvi., narudi kwa mara nyingine hapa janvini kwa ajili ya kutafuta mwanamke wa maisha yangu. Mwanamke mwema/ndoa hakuna pahala sahihi ambapo unaweza kumpata ila ni sehem yeyote...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Dunia inakwenda kasi sana, utandawazi nao haukubaki nyuma. Kila mtu anatafuta mafanikio, na kwa tafasiri yetu mafanikio ni pesa! Ni sawa. Tafsiri upendavyo, mafanikio utayahusisha na pesa at some...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Infinite
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hata yule ambaye hana mvuto kabisa lakini akiamua kupata sex leo hii anapata, lakini kwa mwanaume ni ishu, kwa maana mwisho wa siku Mwanamke ndiyo anaamua kama anakukubali au la, dadadeki, na...
11 Reactions
79 Replies
12K Views
Wakuu kuna demu nimetongoza vizuri kakubali,sasa jana aliniahodi atakuja akanitajia na muda kabisa,akanijulisha yuko barabarani anasubiri gari,nikamuambia kama usafiri shida nimfuate akasema...
4 Reactions
33 Replies
5K Views
Habari zenu wanamember naombeni ushauri wenu...Niko kenya nasomaa chuo mwaka wa pili kwasasa kuna msichana nimetokeaa kumpendaa hii hali imekujaa baaada ya kuwa na ukaribu naye Sana'a....ikanibidi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Soma hapo_
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom