Hivi ndio vitu nipendavyo Mimi

Hivi ndio vitu nipendavyo Mimi

Saoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2018
Posts
468
Reaction score
682
Wadau nimekuwa natatizo la kisaikolojia (Physichological Effect) Kila anapokatiza mwanamke mwenye Wowowo au makalio Makubwa yani moyo huwa unaenda mbio Sana huku nikibaki namshangaa....

Wakuu Nini hasa tatizo mana kiukweli wananivutia Sana yaniiiii.
FB_IMG_1569658846130.jpeg
FB_IMG_1565058556106.jpeg
 
Wadau nimekuwa natatizo la kisaikolojia (Physichological Effect) Kila anapokatiza mwanamke mwenye Wowowo au makalio Makubwa yani moyo huwa unaenda mbio Sana huku nikibaki namshangaa....

Wakuu Nini hasa tatizo mana kiukweli wananivutia Sana yaniiiii.View attachment 1218127View attachment 1218128
hao sijui kwanini sikuizi wanaonyesha sana makalio si waonnyeshe ata vichwa tu
 
mi nilipokua kwenye 20's nilikua kama wewe chief sasa hivi nawaona kawaida, hawamshtui babu hovyo hovyo.
 
Wadau nimekuwa natatizo la kisaikolojia (Physichological Effect) Kila anapokatiza mwanamke mwenye Wowowo au makalio Makubwa yani moyo huwa unaenda mbio Sana huku nikibaki namshangaa....

Wakuu Nini hasa tatizo mana kiukweli wananivutia Sana yaniiiii.View attachment 1218127View attachment 1218128
Wanawake wenye makalio makubwa ndio wanaongoza kwa kuolewa kushinda flat screen
 
Back
Top Bottom