Huyu mtoto nimekutana naye wiki iliyopita nikiwa njiani kurudi ghetto,niliomba namba akanipa.Ni binti mwenye umri wa miaka 20, amehitimu kidato cha 6 bado hajaenda chuo.
Baada ya hapo, jioni...
Habarini ,
Ni wakati mwingine tulivu ambapo pamoja na shughuli za mchana kutwa, hivyo ni wasaa muhimu sasa hivi tujadili kuhusu nyimbo kumi bora zaidi ea mapenzi,
Kama tunavyo jua jinsi mziki...
Wanawake:
1. Kukasirika sana (Anger)
2. Kuukataa ukweli (Denying)
3. Kumpunguza thamani ampendaye kwa kuongelea negative sides
zake (Bargaining)
4. Kuwa na mawazo mengi (depression)
5...
Wanawake wengi wanaoishi Uswahili Wanajua kukata mauno wakiwa wana Faragha ukilinganisha na wale wanaotokea/ishi kule mijengoni kulikojengeka kwa Ramani(ushuani)
Mamboz!!
Nimekuwa napata sana shida ya kuwa na mahusiano ya muda mrefu kwani wanawake hasa wale ninao "fall in love" hulalamika sana matumbo kuwauma muda kidogo baada ya kumaliza kugegedana...
Habari zenu ndug, jamaa na marafiki. Baada ya salam ngoja nielekee ktk skendo lililomtokea home boy wetu last night. Kwanz kwa kuweka kumbukumbu sawa, huyu home boy ana two years hapa ukubwani...
Utashangaa na itakushtaajabisha lakini ndio yametokea.
Huyu brother mke wake ni mtu wa Tanga ,na yeye ni mtu wa Kaskazini,ila maisha yake ni Darslam.
Ni kipindi kirefu tangu alivyo oa,hakufika...
Habari za asubuhi.
Nimekaa zangu hapa nimejinywea chai yangu na mihogo /malala chini/ mato.....mba aridhi.
Basi baada ya kushiba ipasavyo, kuna kawazo kakanijia hapa kichwani mwangu nikajiuliza...
Salaam wana Jf
Mimi ni kijana umri wangu miaka 25,
Nipo katika hitaji la mwanamke ambaye tutaianza pamoja safari ya mahusiano kisha ndoa hapo baadaye...
_Awe muislamu
_ Awe na miaka kati ya 21...
Habari za Siku nyingi hapa Jf
Nimepotea kwa muda mrefu kiasi kwa sababu ya majukumu na kakala za maisha ya hapa jijini, lakini kwa muda wote huo takribani miezi 8 mpaka 10 nimefanikiwa kutoka na...
Wadau habari zenu,kwa kweli nimeishi na familia mbalimbali hadi umri huu nilipofikia kitu ambacho nimegundua ndoa nyingi wanandoa wanavumilana kwa ajili ya kulea watoto vinginevyo rate ya watu...
Wakuu habr zenu,
Hizi siku nmekuwa adimu sana hasa mambo ya kimaisha sio oficin sio wapi full stress. Since j3 nimepokea taarifa kutoka kwa bint kuwa ni anamimba yangu nikachukulia simple...
Wakuu ile kukuru kakala na mtoto wa diwani atimae siku ndio imefika,
Baada ya kusota sana central na kulazimishwa kumuoa atimae kesho ndio siku yenyewe,
Kesho ndio siku iliyopangwa nikatoe...
Wana MMU, wazima wote!?
Nimeleta swali hilo ili niweze kufahamishwa na wataalamu, hususani wa kisaikolojia.
Kwanini wanadamu sisi, wake kwa waume tunakuwa na wivu mkali unaopelekea hasira...
Eti unajiita baharia baharia gani hunuki hata mdomo? Baharia kuoga mara tatu kwa siku baharia anatakiwa anuke kwapa, et baharia anuki chochote!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kuna ukweli wowote kwamba mwanamke(baadhi yenu) akijifungua mpaka mtoto kufikia umri wa miaka (2-3) akawa hana hamu ya tendo/kufanya sex yaani kupoteza kabisa hisia?.
Wanawake naomba majibu
Wengi humu ndani mmewakariri baadhi ya wanawake tunaobishana nao kwenye threads tofauti ila ukwel wa mambo wanawake wazur humu jf huwa hawachangii mada kazi yao kusoma na kulike bhasi.
Narud kwa...
Habari za wakati huu..
Nawasilisha hivi nyinyi wanawake mnaowatega wanaume kwa kuwapanulia mapaja yenu na kuinama inama huku nakule ili mjiache wazi kwa lengo la kumnasa mwanaume . Nawaambia hivi...