Sweet and Sour.....

Sweet and Sour.....

Kuna nini alfajiri hii Kasie. Yaani naamka nakutana na uzi za umaalun tu. Msikie na huyu sasa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1638924/. Yaani mmeharibu alfajiri yangu.

Natamani nimtombe mtu alfajiri hii ukizingatia na kiubaridi ka Simajiro!


Bazazi

Huku kwangu kuna tamu na chungu, unamung'unya tuu ndo dozi yenyewe kisha unasikilizia ladha uliyoichagua...

Huko kwingine sijui...
Sasa unataka ujinyime raha kisaaa, unakubalije siku iharibikee..... Kamata love handles, tenga usawa wa wima sukuma shwaaaahhh......

Ukishindwa utoke ukakimbize upepo kilomita 10.

Mziki mtamu banaa asikwambie mtuu.
 
Hata pombe pia tamu bibie kasie sio mziki tu raha jipe mwenyewe
 
Hata pombe pia tamu bibie kasie sio mziki tu raha jipe mwenyewe

Kwako wewe ni tamu, mimi pombe tamu ni sweet wine tuu tena ya baridi au iwekwe barafu na isizidi glass moja eehehehehee

Ila mziki, washa kuanzia saa nne usiku hadi jua la saa 12 asubuhi linatoka bila kukaa ni mziki bandika bandua ntacheza kila style bila kuchoka.... Napenda sana mziki aiseeh hapo maji ya kunywa tuu ndo stamina yangu muda wote huo na siachwi na beats hata kidogo...
 
Huku kwangu kuna tamu na chungu, unamung'unya tuu ndo dozi yenyewe kisha unasikilizia ladha uliyoichagua...

Huko kwingine sijui...
Sasa unataka ujinyime raha kisaaa, unakubalije siku iharibikee..... Kamata love handles, tenga usawa wa wima sukuma shwaaaahhh......

Ukishindwa utoke ukakimbize upepo kilomita 10.

Mziki mtamu banaa asikwambie mtuu.
@Kasie Uzi zako zanipaga raha sana I wish kungekuwaga na njia ya kupost Uzi kwa njia ya video nikuone tu
 
Cheating is sweet and enjoyable......
Tearing apart is bitter and hurting .....



Be ready for the outcomes. Whatever way it comes face it and if you see that you can't handle it better hold where you are.

Matata K Platinumz.

Wow! What a truth! Fantastic!
 
@Kasie Uzi zako zanipaga raha sana I wish kungekuwaga na njia ya kupost Uzi kwa njia ya video nikuone tu

Aahahahhaaaa niliwaomba wahusika wa JF waweke kitufe cha sauti walau ingekuwa tunachangia nyuzi kwa sauti tukaskizana ila kuonana hapana aahahahahhahahajaa
Anonymous tamuuu....
 
Platinum Member Matata. Si bure, umetumwa wewe.

Baba Paroko alinituma nami nimefikisha ujumbe, aahahhahahahaaa.

Hiyo mida nilikuwa naimba karaokee zilikiwa zinawekwa old school songs miaka ya 80 na 90 ilikiwa rahaa. Nimeimba kama chiriku hadi kunakucha aahahahhahaaa

Ndo nikakutana na huu wimbo wa uzi.
 
Back
Top Bottom