Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,750
Kila mtu ananicheka kwenye akili yangu,
Uvumi unasambaa kuhusu huyo jamaa mwingine,
Unafanya ulioyafanya wakati ulipofanya na mimi?
Anakupenda kama nilivyokupenda?
Umesahau mipango yote tuliopanga tukiwa pamoja?
Mimi sijasahau.....
Ulisema unahitaji mda kidogo wakuyatafakari makosa yangu,
Inachekesha ulivyotumia mda huo huo kuniondoa kwenye nafasi yangu,
Ulifikiri sitokuona mkiwa mnatoka out kwenda kwenye movies?
Unanifanyia nini?
Unampeleka sehemu ambazo tulizokua tunaenda pamoja
Kama unajaribu kuuvunja moyo wangu basi inafanya kazi kwasababu unajua
Ilipaswa kuwa mimi ninae shika mkono wako
Ilipaswa kuwa mimi naekufanya ucheke
Ilipaswa kuwa mimi naepata makiss yako
Ilipaswa kuwa mimi naekununulia zawadi
Hii sio sawa siwezi kuendelea mpaka uamini kwamba ilipaswa kuwa mimi
Nahitaji kujua napaswa kulipigania penzi lako au kunyamaza
Ni ngumu kuyazuia haya maumivu moyoni
Sikupaswa kukuacha uende....
Uvumi unasambaa kuhusu huyo jamaa mwingine,
Unafanya ulioyafanya wakati ulipofanya na mimi?
Anakupenda kama nilivyokupenda?
Umesahau mipango yote tuliopanga tukiwa pamoja?
Mimi sijasahau.....
Ulisema unahitaji mda kidogo wakuyatafakari makosa yangu,
Inachekesha ulivyotumia mda huo huo kuniondoa kwenye nafasi yangu,
Ulifikiri sitokuona mkiwa mnatoka out kwenda kwenye movies?
Unanifanyia nini?
Unampeleka sehemu ambazo tulizokua tunaenda pamoja
Kama unajaribu kuuvunja moyo wangu basi inafanya kazi kwasababu unajua
Ilipaswa kuwa mimi ninae shika mkono wako
Ilipaswa kuwa mimi naekufanya ucheke
Ilipaswa kuwa mimi naepata makiss yako
Ilipaswa kuwa mimi naekununulia zawadi
Hii sio sawa siwezi kuendelea mpaka uamini kwamba ilipaswa kuwa mimi
Nahitaji kujua napaswa kulipigania penzi lako au kunyamaza
Ni ngumu kuyazuia haya maumivu moyoni
Sikupaswa kukuacha uende....