Chilogole
JF-Expert Member
- Jun 18, 2019
- 291
- 272
Nina uhusiano na binti mwezi wa pili huu. Awali nilimuuliza kama yupo single akasema ndio sasa juzi ameniambia kuwa ana mume ila walitengana na huyo mwanaume ameenda kwao kuomba msamaha na yeye siku yoyote anaenda kwa mumewe.
Sasa swali: Je, itakuwaje na tayari ni mjamzito? Na Mimi nimemwambia hiyo mimba asiitoe. Itakuwaje huko aendako?
Msaada wa mawazo wananzengo.
Sasa swali: Je, itakuwaje na tayari ni mjamzito? Na Mimi nimemwambia hiyo mimba asiitoe. Itakuwaje huko aendako?
Msaada wa mawazo wananzengo.