JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,967
Saa 11 alfajiri linapita treni na mihoni kama yote hadi linakuamsha, na yanapigwa kama vile lengo ni kuamsha watu, hii ni sawa? Haya matreni ya daladala yamegeuka kero na kuleta presha na magonjwa kwa watu. Je, hakuna honi za kawaida tu pale inapolazimika, wao hata hakuna mtu wa kumpigia honi wanapiga tu utadhani honi ni za kuita watu. Mbona kuna siku honi ni za kistaarabu, inaonyesha kuna madereva ni waungwana.