Pengine ni karne iliyojaa mabadiliko ya kila namna kuanzia, kufikiri kwa mwanadamu, masuala ya kijamii, kiuchumi, na nyanja nyingine zote. Kwa kawaida mabadiliko katika dunia hayana budi kutokea...
Wadau nauliza mnisaidie hivi sheria ikoje inapotokea umemfumania mkeo live na jamii ikajua, ukaamua kuachana na mwanamke wako. Je? mtagawana mali zote ulizovuna naye au atabeba msaraba wake kwakua...
Wanajamvi, ndoa yangu imepangwa kufungwa mwanzoni kabisa mwa mwezi ujao.
Jana, mume wangu mtarajiwa alinipeleka sehemu kwa lengo la kunitambulisha best-man (BM) wake.
Tangu macho yangu yalipotua...
Ndo hivyo wakuu, suala la kusomesha mchumba kila mtu abaki na msimamo wake. Wewe msomeshe ufundi wa cherehani mimi ntasomesha mpaka shahada ya uzamivu.
Mtoto wa mmiliki wa shule za Tusiime...
mwanamke hata kama atakupenda vipi, ujue lazima atatongozwa na wahitaji wengine...
lililobora kwetu wanaume ni kujenga mazingira yakuendelea kuonekana bora kwake, hili litampa uwezo wakuitoa...
Kuna demu mmoja namfukuzia pamoja na changamoto nazokumbana nazo ikiwa ni pamoja na simu zangu kutokupokelewa kwa wakati,sms kutokujibiwa inavyotakiwa,akiniona kama vile anakua na aibu flani ivi...
Kama unawahi kukojoa wakati wa sex na kuchelewa kurudia game (round 2) jaribu hii. Kuna mbinu nimekuwa nikitumia wiki tatu sasa naona ni nzuri ijaribu usiku wa leo halafu utaleta mrejessho.
ipo...
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25 Natafuta Mwanaume mwenye Hali Kama yangu.kama unauhitaji wa mtu Kama Mimi plz pm mengine tutajuana mbele ya safari
Mimi ni mwanamke miaka 27 nipo Dar es salaam naishi namaambukizi nya
VVU natafuta mume wa kunioa mwenye hali kama Yangu miaka29 mpka34 awe na afya nzuri awe amejikubali awe mkristo awe tayali...
Mke wa mtu kumpenda mume wa mtu ni sahihi?Nilishawahi kukutana na hali hii,kutokana na moyo kuwa mwepesi nikajikuta tupo pamoja.Mbaya zaidi mwenzangu amezidiwa muda wote ananiita mume wake na mara...
Kasumba ya mwanamke ni kupendwa na mwanaume. Mwanamke anapopendwa na mwanaume aliyeingia akilini mwake huhisi wa kipekee duniani. Hujihisi malkia kwa ampendae, no one like her.
Wanawake pia tuna...
Salaam wana Jf...natumaini mu wazima wa afya tele na poleni kwa kuweza kutupa shauri ambazo kwa namna moja ama ingine zimeweza kudumisha mahusiano ya watu humu ndani...
Husika na kichwa cha...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo.... Na Leo ndio kaamua kurudisha rasmi zawadi na vitu vingine ambavyo nilimnunulia wakati wa mahusiano yetu...
Hapa nilipo machozi yananitoka kwa...
Asanteni sana wote mlionishauri niachae nae nifocus kwenye maisha yangu.
Ni hivi yule girlfriend wangu Hajir kaanza kunitafuta mwenyewe.
Kumbukeni kuwa nilifuta namba zake baada ya yeye...
Habari ndugu!
Somo la leo gumu kidogo baada mtifuano wa jana kwa mada ya wanawake!
Mahusiano ya mtu na mtu hukumbukwa kupitia vitu mnavyoshare wakati mko pamoja.
Unapotoka makaburini kumzika...
Hawa wanawake tupo nao katika maisha yetu ya kila siku,i la ni viumbe vinavyotusababishia matatizo makubwa sana kwenye maisha.
Hawa wanawake wanatuwekea wanaume limbwata tunakuwa kama machizi na...
Kwa kifupi
Leo nahitaji kuwashauri watoto wa kike kuwa pale ukifika muda wa kuolewa unatakiwa kuwa makini na mwanaume alielelewa na mzazi mmoja zaidi mwanamke(single mother) au mwanaume alietoka...
Wanajamvi,
Samahani kama nitakuwa nimewauzi lakini hili ndio swali muhimu sana la kuuliza wazazi na ukipewa jibu lolote litafakali ili nawe ulitumie kama funzo mbeleni na kuutumia vizuri ujana...
Nina mtoto mmoja wa kike. Mwanamke huyu nimegundua hatuendani kabisa mwanzo hakuwa hivi. Yupo ambaye nilikuwa nampenda.
Nalia[emoji24][emoji24][emoji24]. Mimi ni mpumbavu tu. Inakuwaje naishi na...
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu aliyenipa nguvu ya kujimwambafy na kuandika hapa.
Takribani siku 3, nilikuwa najiskia homa kidogo kama uchovu, basi ndipo nlipochukua hatua ya kwenda hospitali...