Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Hawa wanawake tupo nao katika maisha yetu ya kila siku,i la ni viumbe vinavyotusababishia matatizo makubwa sana kwenye maisha.
Hawa wanawake wanatuwekea wanaume limbwata tunakuwa kama machizi na kudharau ndugu zetu kisa wao.
Hawa wanawake tukiwa na mali wanatuua na kusabisha mgogoro mkubwa katika familia na wanaukoo (rejea inshu ya marehemu bilionea Msuya na kinachoendelea huko Arumeru chini ya DC Muro).
Hawa wanawake tunajitoa kwao tunawasaidia kama kuwasomesha na kuwafanyia mambo mengine ya msingi lakini mwisho wa siku wanatuumiza.
Samson aliteswa na kuuawa kwa sababu ya Delilah.
Hivi sasa nchi yetu imekumbwa na matukio mengi ya vijana kijiua na kuua wapenzi wao wa kike kisa mapenzi.
Lakini nataka kusema wanawake wengi ni mashetani sana.
Nimempoteza baba yangu miaka 9 iliyopita chanzo mwanamke, tena mwanamke aliyempata baada ya mama yangu kufariki ila kwa tamaa zake za mali na roho yake mbaya, akamuua mzee wangu kwa kumchoma kitu chenye ncha kali na kuharibu utumbo mpana wa baba.
Uchafu ukasambaa mwilini dingi kafichwa ndani. Baada ya kaka zangu kuona mbona mzee hatumuoni wakamfuatilia nyumbani kwake wanamkuta mzee hali mbaya tumbo limejaa, mke kakimbia na mwanae wa kiume walioshiriki tendo lile.
Fasta mzee akakimbizwa hospital kubwa baada ya kupimwa ikaonekana mzee kachomwa kitu chenye ncha kali na utumbo ushaharibika hivyo awekewe utumbo bandia.
Operation ikafanyika fasta mzee akawekewa utumbo bandia. Ila kama mnavyojua tena haya maisha mzee wangu anatoka chumba cha upasuaji hakuwa na fahamu.
Kafika wodini hakukaa muda mrefu sana alizinduka mara moja alipolala tena basi akalala milele na kuniacha yatima. Chanzo kikuu cha kifo chake ni mwanamke.
Nawasihi wanaume wenzangu kuwa makini na hawa wanawake. Tusitumie gharama kubwa kuwapata kwani tukiwapata ni starehe ya muda mfupi ambayo ukiifikiria utafanya maamuzi magumu na mwisho utaishia jela na kukosa uhuru wako na kuwaacha wapendwa wako hasa baba na mama na watoto wako uraiani.
Tuwe makini na wanawake.
NB: Yule mama alishirikiana na mwanae wa kumzaa kumuua baba yangu ila mwanae alikamatwa, mama yake akakikimbia. Baada ya kupita miezi kadhaa yule kijana alifariki akiwa jela, nikapigiwa simu kupewa taarifa so kijana akazikwa na serikali kupitia jeshi la magereza. Mama yake hadi sasa sijamtia machoni.
Hawa wanawake wanatuwekea wanaume limbwata tunakuwa kama machizi na kudharau ndugu zetu kisa wao.
Hawa wanawake tukiwa na mali wanatuua na kusabisha mgogoro mkubwa katika familia na wanaukoo (rejea inshu ya marehemu bilionea Msuya na kinachoendelea huko Arumeru chini ya DC Muro).
Hawa wanawake tunajitoa kwao tunawasaidia kama kuwasomesha na kuwafanyia mambo mengine ya msingi lakini mwisho wa siku wanatuumiza.
Samson aliteswa na kuuawa kwa sababu ya Delilah.
Hivi sasa nchi yetu imekumbwa na matukio mengi ya vijana kijiua na kuua wapenzi wao wa kike kisa mapenzi.
Lakini nataka kusema wanawake wengi ni mashetani sana.
Nimempoteza baba yangu miaka 9 iliyopita chanzo mwanamke, tena mwanamke aliyempata baada ya mama yangu kufariki ila kwa tamaa zake za mali na roho yake mbaya, akamuua mzee wangu kwa kumchoma kitu chenye ncha kali na kuharibu utumbo mpana wa baba.
Uchafu ukasambaa mwilini dingi kafichwa ndani. Baada ya kaka zangu kuona mbona mzee hatumuoni wakamfuatilia nyumbani kwake wanamkuta mzee hali mbaya tumbo limejaa, mke kakimbia na mwanae wa kiume walioshiriki tendo lile.
Fasta mzee akakimbizwa hospital kubwa baada ya kupimwa ikaonekana mzee kachomwa kitu chenye ncha kali na utumbo ushaharibika hivyo awekewe utumbo bandia.
Operation ikafanyika fasta mzee akawekewa utumbo bandia. Ila kama mnavyojua tena haya maisha mzee wangu anatoka chumba cha upasuaji hakuwa na fahamu.
Kafika wodini hakukaa muda mrefu sana alizinduka mara moja alipolala tena basi akalala milele na kuniacha yatima. Chanzo kikuu cha kifo chake ni mwanamke.
Nawasihi wanaume wenzangu kuwa makini na hawa wanawake. Tusitumie gharama kubwa kuwapata kwani tukiwapata ni starehe ya muda mfupi ambayo ukiifikiria utafanya maamuzi magumu na mwisho utaishia jela na kukosa uhuru wako na kuwaacha wapendwa wako hasa baba na mama na watoto wako uraiani.
Tuwe makini na wanawake.
NB: Yule mama alishirikiana na mwanae wa kumzaa kumuua baba yangu ila mwanae alikamatwa, mama yake akakikimbia. Baada ya kupita miezi kadhaa yule kijana alifariki akiwa jela, nikapigiwa simu kupewa taarifa so kijana akazikwa na serikali kupitia jeshi la magereza. Mama yake hadi sasa sijamtia machoni.