Vijana msikosee kuoa, nmeharibika baada ya kukosea kuoa

UNIQUEMAN1

JF-Expert Member
Mar 20, 2018
378
448
Nina mtoto mmoja wa kike. Mwanamke huyu nimegundua hatuendani kabisa mwanzo hakuwa hivi. Yupo ambaye nilikuwa nampenda.

Nalia. Mimi ni mpumbavu tu. Inakuwaje naishi na mwanamke eti kwa kuangalia sura?

Nimefika huku.

IMG_20191013_122859_5.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom