Baada ya kuniacha na kuolewa kaanza kunitafuta.

Baada ya kuniacha na kuolewa kaanza kunitafuta.

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,550
Asanteni sana wote mlionishauri niachae nae nifocus kwenye maisha yangu.

Ni hivi yule girlfriend wangu Hajir kaanza kunitafuta mwenyewe.

Kumbukeni kuwa nilifuta namba zake baada ya yeye kuniacha na kuamua kuolewa.

Ni mwezi tu umepita kaanza kunitafuta. Sijamtukana ila nimemwambia mi nishamsahau na sasa na focus na niliyenae.

Ukiachwa achika na sahau kabisa. Muda ni Tiba nzuri sana.

Asanteni JF kwa ushauri mzuri.
 
Najua umerudi hapa,unatafuta tafuta ushauri mwingine wa namna ya kumrudia. Kwa vyovyote ongea yako inaonyesha huyo unampenda kuliko aliekuoa. Hapo roho inakufukunyua ushike lipi. Kuna uwezekano mpaka sasa tayari 80% ya kumuonjesha tena ama tayari umempa. Utapoteza ndoa na huyo jamaa nia yake ni kukuharibia. Mademu wa siku hizi simjui mkoje?. Vinawawasha ukitulia?. MUNGU anawaona
 
Najua umerudi hapa,unatafuta tafuta ushauri mwingine wa namna ya kumrudia. Kwa vyovyote ongea yako inaonyesha huyo unampenda kuliko aliekuoa. Hapo roho inakufukunyua ushike lipi. Kuna uwezekano mpaka sasa tayari 80% ya kumuonjesha tena ama tayari umempa. Utapoteza ndoa na huyo jamaa nia yake ni kukuharibia. Mademu wa siku hizi simjui mkoje?. Vinawawasha ukitulia?. MUNGU anawaona
Hpana mkuu,
Nimeandika ili wengine wajue kuwa ukiachwa utaumia lakini ukipotezea kwa muda mrefu maumivu yanaisha na unasahau. Ni kama miezi miwili tu nshapoa kabisa.
 
Ukiendelea kuwasiliana nae,uandae na ky jelly utembee nayo kila ck mfukoni ili kurahisisha zoezi
 
Hivi mleta mada ni Ke? Ama mimi ndio sijaelewa?
Najua umerudi hapa,unatafuta tafuta ushauri mwingine wa namna ya kumrudia. Kwa vyovyote ongea yako inaonyesha huyo unampenda kuliko aliekuoa. Hapo roho inakufukunyua ushike lipi. Kuna uwezekano mpaka sasa tayari 80% ya kumuonjesha tena ama tayari umempa. Utapoteza ndoa na huyo jamaa nia yake ni kukuharibia. Mademu wa siku hizi simjui mkoje?. Vinawawasha ukitulia?. MUNGU anawaona
 
Asanteni sana wote mlionishauri niachae nae nifocus kwenye maisha yangu.

Ni hivi yule girlfriend wangu Hajir kaanza kunitafuta mwenyewe.

Kumbukeni kuwa nilifuta namba zake baada ya yeye kuniacha na kuamua kuolewa.

Ni mwezi tu umepita kaanza kunitafuta. Sijamtukana ila nimemwambia mi nishamsahau na sasa na focus na niliyenae.

Ukiachwa achika na sahau kabisa. Muda ni Tiba nzuri sana.

Asanteni JF kwa ushauri mzuri.
Mjukuu wangu umefanya maamuzi ya kiutu uzima
 
Back
Top Bottom