Nilimkimbia huyu mdada baada ya kuniomba Shilingi 10,000

Nilimkimbia huyu mdada baada ya kuniomba Shilingi 10,000

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,425
Daah huyu mdada mpaka sahivi sijamwelewa, like nlikutana nae nikachukua namba. Fresh nikaanza kumtongoza akaonekana kunikubalia, like kila saa alikuwa anani-text kwa siku 4 mfululizo. Siku ya 5 ilipofika mdada akaniambia ana shida ya Tshs elfu 10, mmh nikaguna kimoyomoyo nikaona hapa sina mwanamke. Nikamuuliza mdada kama ananipenda kweli, akasema ananipenda lakini mimi nikamwambia kuwa nahisi hajavutiwa na mimi ndiyo maana ananipiga kizinga, but alikana huku akidai ananipenda..

Nikampa sharti rahisi tu, kwamba akija ghetto siku ya Jumapili, nitampa hela zaidi ya hiyo elfu 10 aliyoiomba, demu akasema anataka hela siku hiyohiyo. Nlipokataa basi ndiyo mpaka leo hajanitafuta tena, na mimi sijamtafuta na sitokaa nimtafute tena. Mbwembwe zote za yeye kuni-text ziliisha baada ya mimi kukataa kumpa elfu 10 kwenye siku aliyoitaka.

Mdada mwingine hivyohivyo, nilimkimbia baada ya kuniomba Tsh elfu 1000

Kama mwendo ni huu bora kununua malaya tu, maana sikuhizi mapenzi yamekuwa biashara.
 
Kuna muhaya mmoja nimetemana nae kisa 15K tu,

Nikatongoza kama leo, siku ya pili yake ana shida na 15k kabla ata sijamchakata nilimwambia tu mimi SINA tena kwa herufi kubwa,

Tofauti ya yeye ni kwamba huwa ananitafuta lakini mimi sina tena mzuka nae.
 
wewe ni malaya

demu ulomtongoza nae malaya


tofauti yenu ni 1

malaya wewe unataka huduma ndipo ulipie

malaya yule anataka malipo ndipo huduma

Mmeshindwana maana malaya hawaaminiani

na ndio kilichotokea kwako na kwake.
 
Boy : baby mambo, leo unakuja,kama tulivyoongea jana?

Girl : Ndiyo my..

But baby Nikwambie kitu...

Boy : sema mpnz

Girl : Sasa mimi nitakujaje, nywele zipo hovyo sijaosha, wala kuset.. Alafu baby kucha zangu sijasafisha..

Nitumie pesa kidogo Kama 30,000/= hivi niende saloon..

Boy : Poa usijali subiri...

M-PESA : imethibitishwa 30,000/= salio lako jipya la M-PESA ni shilling 30,250/=....

Boy : Umeiona mpnz?

Girl: kimya

Boy : Mmh mbona hujibu?

Girl : Ooh sorry, my nimeiona, nilikuwa namuandalia baba chakula, ndiyo amerudi muda huu toka safari...

Mmh alafu sijui Kama ntaweza kutoka baby coz baba alivyorudi amenisema, juzi nilivyochelewa kurudi home, mama kamwambia kila kitu...

100(customer care Vodacom) : Karibu katika huduma ya watu waliotuma pesa kimakosa kupitia M-PESA...

Boy : Samahani nimetuma shillingi 30,000/= kwenda number xxxxx, naomba mnisaidie kuirudisha tafadhali...

100(customer care Vodacom) : OK subiri ombi lako linashughulikiwa na utarejeshewa kiasi hicho ndani ya masaa 24...

Girl (SMS imeingia toka M-PESA) : Imedhibitishwa kiasi cha shilling 30,000/= kilichotumwa kimakosa kimerudishwa, salio lako jipya la M-PESA ni shilling 250/=
Girl : Sasa baby ndiyo nini hivyo... [emoji7][emoji7]
Boy. Sio Mimi ni voda ao wamenionea uruma unavyo nichuna. [emoji23]
Girl. Aah baby voda gani wako ivyo
Girl.alafu Baba kalala nakuja nitumie basi
Boy. We njoo ila nishatumie iko buku jelo now[emoji23]
Mimi siyo mtu wa mchezo mchezo ati...

Sipendagi ujinga mimi...!!
 
Bora hata wew mlianza kuwacliana...mimi nliombwa elf 20....hapo hanijui jina...cjamtongoza....!!nikasepa kimya kmya....japo hua ananitafta lkn kwakweli alinitisha
 
Daah huyu mdada mpaka sahivi sijamwelewa, like nlikutana nae nikachukua namba. Fresh nikaanza kumtongoza akaonekana kunikubalia, like kila saa alikuwa anani-text kwa siku 4 mfululizo. Siku ya 5 ilipofika mdada akaniambia ana shida ya Tshs elfu 10, mmh nikaguna kimoyomoyo nikaona hapa sina mwanamke. Nikamuuliza mdada kama ananipenda kweli, akasema ananipenda lakini mimi nikamwambia kuwa nahisi hajavutiwa na mimi ndiyo maana ananipiga kizinga, but alikana huku akidai ananipenda..

Nikampa sharti rahisi tu, kwamba akija ghetto siku ya Jumapili, nitampa hela zaidi ya hiyo elfu 10 aliyoiomba, demu akasema anataka hela siku hiyohiyo. Nlipokataa basi ndiyo mpaka leo hajanitafuta tena, na mimi sijamtafuta na sitokaa nimtafute tena. Mbwembwe zote za yeye kuni-text ziliisha baada ya mimi kukataa kumpa elfu 10 kwenye siku aliyoitaka.

Mdada mwingine hivyohivyo, nilimkimbia baada ya kuniomba Tsh elfu 1000

Kama mwendo ni huu bora kununua malaya tu, maana sikuhizi mapenzi yamekuwa biashara.
Buku ten ni kubwa na pia ndogo. Tafuta hela na punguza ubahili, kama ww ulivyo tumia vigezo kuangalia upendo, wanawake nao wananjia zao za kuchunguza upendo, kutumika n.k Unaweza kuta alikuwa anakutest tu , ingawa ungempa angechukua lengo ajue mfuko, moyo wako vipoje. Wengine wameshakataa tamaa ya kukutana na mapenzi ya kweli so anaona asije liwa hivi hivi bur bure
 
Buku ten ni kubwa na pia ndogo. Tafuta hela na punguza ubahili, kama ww ulivyo tumia vigezo kuangalia upendo, wanawake nao wananjia zao za kuchunguza upendo, kutumika n.k Unaweza kuta alikuwa anakutest tu , ingawa ungempa angechukua lengo ajue mfuko, moyo wako vipoje. Wengine wameshakataa tamaa ya kukutana na mapenzi ya kweli so anaona asije liwa hivi hivi bur bure
Hakika!! Mdada aliona kama jamaa ten inamkosa au anakuwa mchoyo ka ten tu je maisha ya mbele yakoje
 
Back
Top Bottom