Habari za jion Wana JF ....
Mm ni kijana umri 30+
-Urefu 5.4 nch
-Colour -mweupe kiasi
-islamic
-Nna watoto wa3 kila mmoja na mama yake,
-Ila nnaishi watoto wangu.
-Kaz yangu ni Mishen town tu...
Rejea kichwa cha Habari hapo
Naitwa Frank , huu ni mwaka wangu wa 25 , Nimesoma , Nimeajiriwa Serikalini (Tanzania Defence Force) , Ni mwanaume anayejitambua na muelewa sana, Naweza kummudu...
Kama Kichwa cha nyuzi kinavyosema.Natafuta Mpenzi ili baadaye awe kuja kuwa mke.
Sifa zangu;
Jinsia Me
Umri 30
Kazi Muajiriwa
Kimo Sio mrefu wala mfupi
Elimu yangu. Shahada ya kwanza...
Waungwana habari zenu!nisipende kupoteza muda sana,mimi ninaumri wa miaka 33,mkristo,muajiriwa,natafuta mwanamke ambaye yupo tayari kuolewa kama tabia zake zitaridhisha
Sifa
1)Awe mkristo wa...
Wajumbe husikeni na kichwa cha habari hapo;
Mwaka jana mwezi wa saba nikiwa katika harakati za kumvisha pete mchumba wangu tuliedumu kwa muda wa miaka miwili, niligundua hakuwa mwaminifu hata...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto...
Nashughulika na biashara ya kuendesha BODABODA aina ya SUNLG, Na nina elimu ya FORM TWO, na nilifaulu masomo yote isipokuwa Kemia tu, ila sikuendelea na form three kutokana na mvurugiko wa...
Za mda huu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Hivyo RAFIKI wa kuchat naye na kubadilisha mawazo pale nafasi inapoatikana,
Ni vizuri asiwe mtu wa mambo mengi na atoe ushirikiano mzuri...
Kwanza wakuu poleni na majukumu ya kutwa mzima.nijielekeze mojakwamoja katika hoja yangu hawa jamaa wajenzi wa reli yetu ya mwendo kasi ,sielewi kwani kampuni nyingi za ujenzi zinakuja tunazioma...
Hello
Mimi ni single mom [emoji2963] wa mtoto mmoja, nimeachana na mzazi mwenzangu na sijui hata yupo wapi kwa sasa. Natafuta mume miaka 35-50,
[emoji117]- awe tayari kumpenda mwanangu kama wake...
Habari zenu wanabodi
Mimi nikjana wa umri wa 33 ninatafuta mwanamke around 26-30 wakuanza nae maisha Mi naishi Moro na awe tayari kija kuishi na mimi
Awe mpole kiasi,
Mchamungu,
Mkweli ,
Mwaminifu
Awe na umri kuanzia miaka 24 hadi 30
Dini awe mkristo
Elimu yake kuanzia form four na kuendelea
Rangi yoyote sibagui
Awe anajihusisha na shughuli yoyote halali
Sifa zangu Mimi
Miaka 30
Elimu...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Mimi nikijana nilie ajiliwa katika idala moja wapo seriialini
Nina umliwa miaka 34
nahitaji nimpate mpenzi ambaye ana lengo la kujenga maisha umli...
Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu
Sifa
●Mcha Mungu na mpenda maendeleo
●Umri miaka 18-30
●Mrembo mweupe au mweusi mwenye shape atapewa kipaumbele
●Awe na shughuli halali inayomwingizia...
Habari wana jukwaa kichwa cha habari chahusika.
Sifa za ninayemuhitaji
*umri:miaka 18-29
*Dini:Muislamu
*Elimu: kiwango chochote
Sifa zangu
*Umri:miaka 30
*Dini: Muislamu
*Elimu: degree na...
Habari zenu wana jamii forum
Mwenzenu natafuta mume, mtaani wapo wanaokuja lakini bado sijapata tunayeendana kitabia.
Nimeona nijaribu na huku
Sifa zake
1.Mume Mkristo aliyeokoka
2.Mchapakazi...
Kama heading inavyoeleza hapo juu
Sifa zangu
Kijana wa kiume 27yrs
Nina mwili kiasi
Mrefu
Nimeajiriwa
Christian
Muaminifu
Upendo wa kweli
Sifa za ninaye muhitaji
Msichana
Umri 20-26yrs
Awe...
Habari ya muda huu wadau. Mimi ni kijana mwenye miaka 27. Ni mzaliwa wa mkoa wa iringa lakini kwa sasa Nipo mkoani morogoro wilaya ya kilombero mji wa Ifakara. Nina shahada na nimeajiliwa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.