Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wanajamvi ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe mkristo 4: Awe anajua kupika na msafi 5: umri...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe anaweza kuongea kiingereza 4: Awe anajua kupika na msafi 5...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu umofia kwenuu.. Twende kwenye mada husika. mimi ni kijana miaka 30yrs kwa sasa natafuta msichana mrembo awe rafiki kisha mpenzi. 1. Awe mkristo 2. Shule yeyote above form six 3. Awe mrembo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Am a gentleman aged between 35 and 40. Am economically stable and having one kid. Am looking for a matured minded lady, who is single and economically stable, aged from 33 to 44. I dont care...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo. -Umri 28 -Mrefu -Mweusi wastani -Mpole kimuonekano na tabia -Mfanyakazi Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, natafuta mchumba mwenye umri kati ya miaka 18-25. Awe mwenye upendo na anayejali Elimu sio kigezo sana ili mradi awe muelewa Mimi nasoma Masters Degree...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanandugu Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 33 natafuta mwanamke kwa ajili ya kujenga familia. Nahitaji mwenye sifa zifuatazo Mkristo wa kueleweka Umri asizidi 30 Elimu kuanzia kidato...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Habari wanandugu, Nina bro wangu anatafuta girlfriend Amejiajiri na umri wake ni miaka 36. Ni mkristo. Naandika ili iwasaidie wale wanaopendelea watu wa upande wao lakini yeye habagui dini. Kama...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
kama ilivyo hapo juu nina uhtaji na mke mwema langi yeyote,kwa alie tayari nafasi ipo wazi wahi mapema!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious He is 24 black and tall Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor Pm me if interested
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Matumaini yangu kuwa mu_buheri wa afya, hata kwa wale ambao kwao siku imekuwa nzito muumba atawajaza wepesi. Bila kupoteza muda nilejelee maada husika. Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili awe mpenzi wangu Sifa-:- 1) umri kati ya 25 mpaka 45 2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote) 3)mwenye kazi yake au biashara 4)mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
msichana wa type ya kishua(asinitegemee sana kifedha kwani na mimi ndo nimetoka tuu chuoni) mwenye mwili wa wastani, rangi asiwe mweusi. miaka 18 mbaka 24. dini yoyote(mkristo atapata kipaumbele)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mi nikijana mwenye miaka 29 Rangi yangu: Light skin Kimo: 5’8 Dini: Mkristo Msukuma kwa kabila, nimemaliza chuo 2017 na kupata shahada yangu ya kwanza. Nimwajiliwa serikalini. Nilikuwa kwenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni Mkristo mcha Mungu mlutheri miaka 30 nipo Dar es salaam. nafanya kazi katika kampuni binafsi. Nahitaji mume Mkristo mcha Mungu mwenye mapenzi ya dhati. Awe hajawahi kupata mtoto kwani na...
11 Reactions
31 Replies
3K Views
Mimi bint4 natafuta mwenza aliye serious.. Tuyajenge maisha Sifa zangu Umri miaka 34 Elimu kidato cha Sina mtoto Sifa za nimtafutae Awe na miaka 34-45 Muelewa mwenye hofu ya MUNGU awe...
6 Reactions
59 Replies
8K Views
Hoyaaa masera....mimi sio mgeni sana humu ndani.Ila nimemuona jamaa yangu amepata mtoto mzuri toka jamiiforum.Nikashangaa kumbe yale mambo watu wanasemaga ni kweli kuwa kuna mademu mazuri humu...
6 Reactions
83 Replies
8K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu Nnahitaji mwanamke atakae kuwa na mapenzi ya dhati, wasifu wangu >Mrefu wa Wastani >maji ya kunde >Nimejiajiri >Sina nyumba nimepanga room 1 >Nipo DSM >Elimu ya...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom