Habari wanajamvi ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe mkristo
4: Awe anajua kupika na msafi
5: umri...
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe anaweza kuongea kiingereza
4: Awe anajua kupika na msafi
5...
Wakuu umofia kwenuu..
Twende kwenye mada husika. mimi ni kijana miaka 30yrs kwa sasa natafuta msichana mrembo awe rafiki kisha mpenzi.
1. Awe mkristo
2. Shule yeyote above form six
3. Awe mrembo...
Am a gentleman aged between 35 and 40. Am economically stable and having one kid.
Am looking for a matured minded lady, who is single and economically stable, aged from 33 to 44.
I dont care...
Mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo.
-Umri 28
-Mrefu
-Mweusi wastani
-Mpole kimuonekano na tabia
-Mfanyakazi
Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, natafuta mchumba mwenye umri kati ya miaka 18-25.
Awe mwenye upendo na anayejali
Elimu sio kigezo sana ili mradi awe muelewa
Mimi nasoma Masters Degree...
Habari wanandugu
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 33 natafuta mwanamke kwa ajili ya kujenga familia.
Nahitaji mwenye sifa zifuatazo
Mkristo wa kueleweka
Umri asizidi 30
Elimu kuanzia kidato...
Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya...
Habari wanandugu,
Nina bro wangu anatafuta girlfriend
Amejiajiri na umri wake ni miaka 36. Ni mkristo. Naandika ili iwasaidie wale wanaopendelea watu wa upande wao lakini yeye habagui dini.
Kama...
Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious
He is 24 black and tall
Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor
Pm me if interested
Matumaini yangu kuwa mu_buheri wa afya, hata kwa wale ambao kwao siku imekuwa nzito muumba atawajaza wepesi.
Bila kupoteza muda nilejelee maada husika. Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri...
Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili awe mpenzi wangu
Sifa-:-
1) umri kati ya 25 mpaka 45
2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote)
3)mwenye kazi yake au biashara
4)mwenye...
Wakuu
Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume...
msichana wa type ya kishua(asinitegemee sana kifedha kwani na mimi ndo nimetoka tuu chuoni) mwenye mwili wa wastani, rangi asiwe mweusi. miaka 18 mbaka 24.
dini yoyote(mkristo atapata kipaumbele)...
Mi nikijana mwenye miaka 29
Rangi yangu: Light skin
Kimo: 5’8
Dini: Mkristo
Msukuma kwa kabila, nimemaliza chuo 2017 na kupata shahada yangu ya kwanza. Nimwajiliwa serikalini.
Nilikuwa kwenye...
Mimi ni Mkristo mcha Mungu mlutheri miaka 30 nipo Dar es salaam.
nafanya kazi katika kampuni binafsi.
Nahitaji mume Mkristo mcha Mungu mwenye mapenzi ya dhati.
Awe hajawahi kupata mtoto kwani na...
Mimi bint4 natafuta mwenza aliye serious.. Tuyajenge maisha
Sifa zangu
Umri miaka 34
Elimu kidato cha
Sina mtoto
Sifa za nimtafutae
Awe na miaka 34-45
Muelewa mwenye hofu ya MUNGU awe...
Hoyaaa masera....mimi sio mgeni sana humu ndani.Ila nimemuona jamaa yangu amepata mtoto mzuri toka jamiiforum.Nikashangaa kumbe yale mambo watu wanasemaga ni kweli kuwa kuna mademu mazuri humu...
Rejea kichwa cha habari hapo juu
Nnahitaji mwanamke atakae kuwa na mapenzi ya dhati, wasifu wangu
>Mrefu wa Wastani
>maji ya kunde
>Nimejiajiri
>Sina nyumba nimepanga room 1
>Nipo DSM
>Elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.