Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mim ni kijana naishi hapa dar, nina mke na mtoto 1, natafuta dem wa kuwa nae ktk mahusiano awe dar na awe mzuri anae jipenda. tutakuwa ktk mahusiano na kumegana ni kawaida ila demu asiwe tegemezi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwamajina naitwa Nasibu nna age ya 26,elimu bachelor ya education pia ya dini ipo,natafta mwanamke wa kuoa ila awe navigezo vifwafavyo .muislam .mwenye kuipenda stara ama hijabu zakisheria .umri...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Mm ni kijana aged 26 namtafta mwanamke ambaye kweli anahitaji kuolewa na na sio vinginevyo elimu sio kigezo. Mengine mengi tutaelezana PM maana hapa siwez kuweka wazi sifa zote. Karibu Pm angalau...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Closed
Wanajamii, nahitaji mpenzi mzungu - Awe single/divorced - mwenye umri kati ya miaka 28 hadi pungufu ya 50 -Mkristo Mimi ni msichana wa miaka 22 -single -Naishi Dar -Mkristo NB: sibagui rangi...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo, Nimefikia uamuzi wa kujiunga baada ya kuelezwa na jamaa yangu wa karibu ambaye ameweza kupata mwenza kupitia mtandao huu. Lengo langu ni kutafuta mwenza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa Joseph mwenye umri wa miaka 25, naishi Dar, ni mwajiriwa. Natafuta mwanamke mwenye umri kuanzia 38-42, aliye tayari aniPM. NB: Nimeamua nikiwa na akili timamu.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilishakujaga hapa kipindi cha mwaka 2017 na namshukuru Mungu alinipa mume mwema. Nina binamu yangu anahitaji mume au mwanaume ambaye watakubaliana kupata mtoto/watoto ila wote watakuwa na jukumu...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Mada tajwa yahusika Natafuta mwenza Wasifu wangu Siku miingi nshamalizana na Elimu ya(wao wanaita ya juu)chuo Nimewahi kuajiriwa...nikaamua kukiajiri Sina mtoto Wala sijawahi kuwa na mke Ni...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Habari za saa hizi wakuu. Upweke si kitu chema, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na msichana fulani ila mambo yakaenda kombo. Alipata mwingine. Ikanikera sana ikaniumiza sana na...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwanaume mwenye upweke anakalibishwa/anae taka mke wa pili Sifa awe mwanaume kamili Umri 29-40 Maji ya kunde Asiwe mfupi Wala mrefu Anae jituma kimaendeleo na mchapa kazi Awe na uwezo wa...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
1. My name: Amiry Muzamelly. 2. Age:23. 3. Language: English,Arabic,Swahili. 4. Religion: Islam. 5. My color:Grainy black with gravity. 6. Work: Religious seeker. 7. Height:Tall Normal. 8. Child...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nahitaji mwanamke ambae anajielewa wa kuanza nae urafiki hadi kuwa wachumba. Na siku za mbele tuweze kuwa wanandoa Sifa zangu Ni muislamu Umri wangu 30 Ninaishi single Sina mtoto Sifa za...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Habari Ni kijana wa miaka 27 Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida. Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi. Nimejiajiri Ni msomi,mstaarabu na...
1 Reactions
0 Replies
747 Views
Ukiwa mtu wa kuangalia mambo kwa juu juu basi kila kitu kwako kitakuwa kigumu. Kusoma unaweza kuona ni kugumu, kufanya kazi kugumu, hata kusubiri mshahara unaweza kuona ni kugumu. Urahisi kwako...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
-Miaka 34 -Mwajiliwa wa serikali -Mzamili kielimu(Nimemaliza mwaka huu) -Mkristo -Situmii kilevi chochote Mdada/Mwanamke -Umri miaka 30-34 -Dini yoyote -Kabila lolote -Mfanyakazi/Asiye na kazi...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Salaam.wakuu Habari za Weekend Mkopoa Matumaninu Yangu Nashukuru Naomba Kuuliza Au Kushare Hili Tujajadili Pamoja Huwenda Tukapata Hitimisho kwa Ushauri na Uchangiaji Mbali Mbalii. Hivi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wakuu Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu Nikickek umuri wangu sasa naenda kugota 25 hivyo nahitaji mwenza wa kuwa naye maishan mwangu Lakin siyo tu nahitaji mwenza...
5 Reactions
40 Replies
6K Views
Jamani kwa mara nyingine tena naomba niwajuze kuwa nahitaji mwanamke wa kiarabu na nikisema mwanamke wa kiarabu nina maana mwanamke wa kiarabu naomba niwasilishe.
1 Reactions
103 Replies
34K Views
:panda::panda:Rafiki yangu anatafuta seroius mchumba atakaye kuwa mke ndani ya kipindi kisichozidi mwaka mmoja , Kwanini rafiki yangu? Yeye amesoma kufikia ngazi ya kuwa Padre na...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Napenda kuwatangazia wana jf kwamba mwaka huu historia ya maisha yangu will change from senior bachelor to masters of couple. nahitaji kuoa ila mpaka sasa mchumba sina hivyo napenda kuwatangazia...
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Back
Top Bottom