Mim ni kijana naishi hapa dar, nina mke na mtoto 1, natafuta dem wa kuwa nae ktk mahusiano awe dar na awe mzuri anae jipenda. tutakuwa ktk mahusiano na kumegana ni kawaida ila demu asiwe tegemezi...
Kwamajina naitwa Nasibu nna age ya 26,elimu bachelor ya education pia ya dini ipo,natafta mwanamke wa kuoa ila awe navigezo vifwafavyo
.muislam
.mwenye kuipenda stara ama hijabu zakisheria
.umri...
Mm ni kijana aged 26 namtafta mwanamke ambaye kweli anahitaji kuolewa na na sio vinginevyo elimu sio kigezo. Mengine mengi tutaelezana PM maana hapa siwez kuweka wazi sifa zote. Karibu Pm angalau...
Wanajamii, nahitaji mpenzi mzungu
- Awe single/divorced
- mwenye umri kati ya miaka 28 hadi pungufu ya 50
-Mkristo
Mimi ni msichana wa miaka 22
-single
-Naishi Dar
-Mkristo
NB: sibagui rangi...
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo,
Nimefikia uamuzi wa kujiunga baada ya kuelezwa na jamaa yangu wa karibu ambaye ameweza kupata mwenza kupitia mtandao huu. Lengo langu ni kutafuta mwenza...
Naitwa Joseph mwenye umri wa miaka 25, naishi Dar, ni mwajiriwa.
Natafuta mwanamke mwenye umri kuanzia 38-42, aliye tayari aniPM.
NB: Nimeamua nikiwa na akili timamu.
Nilishakujaga hapa kipindi cha mwaka 2017 na namshukuru Mungu alinipa mume mwema.
Nina binamu yangu anahitaji mume au mwanaume ambaye watakubaliana kupata mtoto/watoto ila wote watakuwa na jukumu...
Mada tajwa yahusika
Natafuta mwenza
Wasifu wangu
Siku miingi nshamalizana na Elimu ya(wao wanaita ya juu)chuo
Nimewahi kuajiriwa...nikaamua kukiajiri
Sina mtoto Wala sijawahi kuwa na mke
Ni...
Habari za saa hizi wakuu.
Upweke si kitu chema, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na msichana fulani ila mambo yakaenda kombo. Alipata mwingine. Ikanikera sana ikaniumiza sana na...
Mwanaume mwenye upweke anakalibishwa/anae taka mke wa pili
Sifa awe mwanaume kamili
Umri 29-40
Maji ya kunde
Asiwe mfupi Wala mrefu
Anae jituma kimaendeleo na mchapa kazi
Awe na uwezo wa...
1. My name: Amiry Muzamelly.
2. Age:23.
3. Language: English,Arabic,Swahili.
4. Religion: Islam.
5. My color:Grainy black with gravity.
6. Work: Religious seeker.
7. Height:Tall Normal.
8. Child...
Nahitaji mwanamke ambae anajielewa wa kuanza nae urafiki hadi kuwa wachumba. Na siku za mbele tuweze kuwa wanandoa
Sifa zangu
Ni muislamu
Umri wangu 30
Ninaishi single
Sina mtoto
Sifa za...
Habari
Ni kijana wa miaka 27
Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na...
Ukiwa mtu wa kuangalia mambo kwa juu juu basi kila kitu kwako kitakuwa kigumu. Kusoma unaweza kuona ni kugumu, kufanya kazi kugumu, hata kusubiri mshahara unaweza kuona ni kugumu.
Urahisi kwako...
-Miaka 34
-Mwajiliwa wa serikali
-Mzamili kielimu(Nimemaliza mwaka huu)
-Mkristo
-Situmii kilevi chochote
Mdada/Mwanamke
-Umri miaka 30-34
-Dini yoyote
-Kabila lolote
-Mfanyakazi/Asiye na kazi...
Salaam.wakuu Habari za Weekend Mkopoa Matumaninu Yangu Nashukuru
Naomba Kuuliza Au Kushare Hili Tujajadili Pamoja Huwenda Tukapata Hitimisho kwa Ushauri na Uchangiaji Mbali Mbalii.
Hivi...
Aman iwe nanyi wakuu
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Nikickek umuri wangu sasa naenda kugota 25 hivyo nahitaji mwenza wa kuwa naye maishan mwangu
Lakin siyo tu nahitaji mwenza...
Jamani kwa mara nyingine tena naomba niwajuze kuwa nahitaji mwanamke wa kiarabu na nikisema mwanamke wa kiarabu nina maana mwanamke wa kiarabu naomba niwasilishe.
:panda::panda:Rafiki yangu anatafuta seroius mchumba atakaye kuwa mke ndani ya kipindi kisichozidi mwaka mmoja , Kwanini rafiki yangu? Yeye amesoma kufikia ngazi ya kuwa Padre na...
Napenda kuwatangazia wana jf kwamba mwaka huu historia ya maisha yangu will change from senior bachelor to masters of couple. nahitaji kuoa ila mpaka sasa mchumba sina hivyo napenda kuwatangazia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.