Habari zenu Wana JF.
Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es salaam kwa ndugu zangu. Ni mhitimu wa chuo ila bado sijafanikiwa kupata ajira.
Natafuta mwanaume mwaminifu na mwenye upendo wa kweli...
Hi Jamii forum family,Ts my second time here.
I'm 30 years of age Tanzanian with hiv+ on medication , I'm looking for a gud man ,he just have to be smart with a very gud sense of humour ,age...
Habari ndugu zangu Niko hapa kutafuta marafik ambao tuna endana kwa vitu tunavyo penda na sio kama Sina marafik ila nahitaji marafik wapya.binafsi Mimi ni kijana Nina 28 age.
Job: nimeajiliwa...
I am female aged 29, I am looking for a man who is serious to get married this year. Guys help me find the best man in the world, awe na miaka 30 nakuendelea. Mwenye kazi yake na mwenye kujitambua
Vigezo
Sifa zangu, ,mbahili (sina matumizi yasiyo ya maana nahudumia mambo ya msingi tu).kwahiyo ukija na staili za kudanga kwang itakula kwako,,nina tamaa sana ya kutoka kimaisha hivyo nafanya...
Habari ndugu zangu, natumai mu wazima
Nakuja na mtazamo wangu kwa hili kundi la kina dada kujitangaza kutafuta waume. Kiukweli wengi wao umri kidogo umesogea lakini bado hawajakua wala kujifunza...
Habari wana JF,
Nikiwa na nia thabiti, ninatangaza kutafuta mume. Mimi ni mwanamke mwenye Umri wa miaka 31.
Upande wangu,
Nina mtoto mmoja>5 yrs
Elimu yangu Diploma
Ni mwajiriwa
Ninahitaji mtu...
Mimi ni kijana wa miaka 27 nilizaliwa na kukulia ktk mkoa wa Kilimanjaro,kwa sasa ninaishi Dar es salaam namshukuru Mungu alinifanikisha kupata kazi serikalini,kwasasa ninatamani sana kua na...
Habari zenu. nmekuja kwenye jukwa hili nikiwa na uhitaji na mwanaume ambaye baada ya kukubaliana tunaweza kwa pamoja leta kiumbe kipya duniani. wasifu wangu; mimi ni mkristo,mwanamke wa kawaida ...
Habari wadau
Natafuta company ya mkaka ambayo kama tukielewana italeta mahusiano ya kudumu.
Mimi ni:
Mwanamke umri 33-35
Mkristo
Elimu ya chuo
Mfanyakazi
Mcha Mungu
focused
loving and caring...
Mimi ni kijana wa Kitanzania nina umri wa miaka 31, ninaishi Dar. Mimi ni mfanyabiashara.Ninatafuta mwanamke aliyeajiriwa au mfanyabiashara kama mm. Sibagui umri,dini wala kabila . Kwa aliye...
Mimi ni kijana mpole mcha Mungu,
-ninaishi Arusha,
-nina miaka 35,
-ninafanya kazi na kampuni ya utalii....ninatafuta mke/mchumba awe na -miaka 21-30,
-awe mweupeee,
-asiwe mnene....
ntakuhudumia...
Ndugu wanajamvi, Wasalam.
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, Mimi ni Kijana wa kiume, Nahitaji Mwenza ambae Mungu akijalia aje kua mke wangu
Vigezo
1. Umri miaka 18 mpaka 28
2. Elimu Kuanzia...
Mimi ni
>Nina miaka 27
>Mrefu kiasi 5‘6” (futi 5 na inchi 6)
>Elimu kidato cha sita
>Sina mtoto
>Ni fundi muashi/uwashi
>Mlongo wa kisiasa ni muafidhina
>Dini ni muislam
Mwanamke ninaemuhitaji...
Nashukuru wadau, kwa sasa zoezi limesitishwa.
First come First Served
Asanteni sana.
Muhusika anadeal na dada aliyejitokeza kwa sasa.
Naomba niwe dalali/kuwadi leo.
A good friend of...
1. My name: Amiry Muzamelly.
2. Age:23.
3. Language: English,Arabic,Swahili.
4. Religion: Islam.
5. My color:Grainy black with gravity.
6. Work: Religious seeker.
7. Height:Tall Normal.
8. Child...
Nikiwa kama kijana mwenye umri wa miaka 35 mwenye kipato kizuri na kazi nzuri nahitaji mwanamke ambae yuko tayari tupate mtoto awe mweupe na umri mwisho miaka38 na mkazi wa dar pia awe na uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.