Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi wakuu
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Nikickek umuri wangu sasa naenda kugota 25 hivyo nahitaji mwenza wa kuwa naye maishan mwangu
Lakin siyo tu nahitaji mwenza bali nahitaji mwenza mwenye sifa ninazo zitaka mimi
Mimi huwa napenda sana hawa wadada makondakta wa mabas ya mikoan kwakweli nawapenda sana watu hawa
Sifa za mwanamke ninaye mtaka
Awe shabiki wa Chelsea hata kama hafatilii mpira lakin itabidi aanze tu kufatilia
Awe kapita jkt
Akiwa mwanajeshi sawa lakin awe aliye iva kimafunzo
Sifa kuu zaidi ni mbili kama siyo tatu
1 Awe afisa usalama wa taifa nitafurah sana nikioa usalama wa taifa maana nitamuombea sana kwa Mungu siku moja apandishwe cheo awe Afisa mkuu wa usalama wa taifa inchi nzima. Kwanini nitamuombea ili apandishwe cheo? Unajua lengo langu ni nini? Ni hili tu ili siku moja nije nimshaul aipindue nchi na yeye ndo awe rais wa nchi afu mimi niwe first father wa nchi
2 Awe askali wa wanyama pori
Unajua kwanini nataka awe askali wa wanyama ili akiwa anatoka polin anakuwa anakuja leo mara na upaja wa twiga kesho tena na upaja wa swala kesho yake tena na upaja wa simba yaan had raha si unajua tena zawadi ya demu ilivyo tamu
3 awe konda wa mabasi ya mikon
Unajua ukiwa na dem kondakta ni raha sana yaan leo unaweza letewa mahindi ya kuchoma ambayo kanunua huko njian kesho tena ukaletewa mkate kesho kutwa nanas yaan had raha aisee
Ukitizama hapo juu utagundua kwamba wanawake ninao wapenda ni watu wa masafa sana, unajua kwanini napenda wanawake wa Masafa? Sababu ni moja tu
Mimi huwa naona raha sana demu wangu akija usiku kwa kunishitukiza asiniambia kama atakuja nishitukie tu anagonga Mlango
Ngo ngo ngo hodi ngosha wangu hahaaaaa yaaan naonaga raha kishenzi
Bas ndo maana nataka usalama wa taifa akitoka minsion zake usiku nagongewa tu mlango kibabe kisha nafungua kibabe na mabusu ya kibabe kwa kwenda mbele
Afu kitu kingine napendaga sana kumkumbatia demu wangu tukiwa gheto afu kavaa gwanda yaan huwa nahisi kama nafanya mapenz na jeshi zima
Nb madem zangu nishaga wazui kuniita jina langu halisi au baby bali nishaga wambia tu wawe wananiita NGOSHA WANGU AU NGOSHA BABY
Mwenye sifa hizo karbu sana
Nakuhitaji zaid ya unavyonihitaji
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Nikickek umuri wangu sasa naenda kugota 25 hivyo nahitaji mwenza wa kuwa naye maishan mwangu
Lakin siyo tu nahitaji mwenza bali nahitaji mwenza mwenye sifa ninazo zitaka mimi
Mimi huwa napenda sana hawa wadada makondakta wa mabas ya mikoan kwakweli nawapenda sana watu hawa
Sifa za mwanamke ninaye mtaka
Awe shabiki wa Chelsea hata kama hafatilii mpira lakin itabidi aanze tu kufatilia
Awe kapita jkt
Akiwa mwanajeshi sawa lakin awe aliye iva kimafunzo
Sifa kuu zaidi ni mbili kama siyo tatu
1 Awe afisa usalama wa taifa nitafurah sana nikioa usalama wa taifa maana nitamuombea sana kwa Mungu siku moja apandishwe cheo awe Afisa mkuu wa usalama wa taifa inchi nzima. Kwanini nitamuombea ili apandishwe cheo? Unajua lengo langu ni nini? Ni hili tu ili siku moja nije nimshaul aipindue nchi na yeye ndo awe rais wa nchi afu mimi niwe first father wa nchi
2 Awe askali wa wanyama pori
Unajua kwanini nataka awe askali wa wanyama ili akiwa anatoka polin anakuwa anakuja leo mara na upaja wa twiga kesho tena na upaja wa swala kesho yake tena na upaja wa simba yaan had raha si unajua tena zawadi ya demu ilivyo tamu
3 awe konda wa mabasi ya mikon
Unajua ukiwa na dem kondakta ni raha sana yaan leo unaweza letewa mahindi ya kuchoma ambayo kanunua huko njian kesho tena ukaletewa mkate kesho kutwa nanas yaan had raha aisee
Ukitizama hapo juu utagundua kwamba wanawake ninao wapenda ni watu wa masafa sana, unajua kwanini napenda wanawake wa Masafa? Sababu ni moja tu
Mimi huwa naona raha sana demu wangu akija usiku kwa kunishitukiza asiniambia kama atakuja nishitukie tu anagonga Mlango
Ngo ngo ngo hodi ngosha wangu hahaaaaa yaaan naonaga raha kishenzi
Bas ndo maana nataka usalama wa taifa akitoka minsion zake usiku nagongewa tu mlango kibabe kisha nafungua kibabe na mabusu ya kibabe kwa kwenda mbele
Afu kitu kingine napendaga sana kumkumbatia demu wangu tukiwa gheto afu kavaa gwanda yaan huwa nahisi kama nafanya mapenz na jeshi zima
Nb madem zangu nishaga wazui kuniita jina langu halisi au baby bali nishaga wambia tu wawe wananiita NGOSHA WANGU AU NGOSHA BABY
Mwenye sifa hizo karbu sana
Nakuhitaji zaid ya unavyonihitaji
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app