Daniel Adrian
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 311
- 322
Habari za saa hizi wakuu.
Upweke si kitu chema, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na msichana fulani ila mambo yakaenda kombo. Alipata mwingine. Ikanikera sana ikaniumiza sana na ikasababisha nisitake mahusiano yoyote.
Lakini upweke si kitu chema.
Nimekuja hapa kueleza nia yangu ya dhati ya kuhitaji mke, mwanamke ambaye atakubali kuwa katika mahusiano nami mahusiano ambayo tuyajenge kwa lengo moja tu, NDOA.
-Nahitaji ambae ana angalau elimu ya form 4.
-Dini/kabila lolote lile.
-ila sipendi mwanamke mfupi sana.
-awe mweupe au mweusi yote sawa tu haina shida, ila napenda sana super blac, rangi ya lami.
-Umri wangu ni chini ya miaka 30. Ila nahitaji mwanamke ambae hatazidi miaka 25.
-Sihitaji mwanamke mwenye mtoto, niwe muwazi. Na nimepanga kuwa watoto wawili tu katika maisha yangu.
Nime edit: Baada ya kushauriwa na watu kadhaa kwa nia njema tu nime edit moja ya vigezo. Niko tayari tuwe na mpaka watoto wawili.
Upweke si kitu chema, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na msichana fulani ila mambo yakaenda kombo. Alipata mwingine. Ikanikera sana ikaniumiza sana na ikasababisha nisitake mahusiano yoyote.
Lakini upweke si kitu chema.
Nimekuja hapa kueleza nia yangu ya dhati ya kuhitaji mke, mwanamke ambaye atakubali kuwa katika mahusiano nami mahusiano ambayo tuyajenge kwa lengo moja tu, NDOA.
-Nahitaji ambae ana angalau elimu ya form 4.
-Dini/kabila lolote lile.
-ila sipendi mwanamke mfupi sana.
-awe mweupe au mweusi yote sawa tu haina shida, ila napenda sana super blac, rangi ya lami.
-Umri wangu ni chini ya miaka 30. Ila nahitaji mwanamke ambae hatazidi miaka 25.
-Sihitaji mwanamke mwenye mtoto, niwe muwazi. Na nimepanga kuwa watoto wawili tu katika maisha yangu.
Nime edit: Baada ya kushauriwa na watu kadhaa kwa nia njema tu nime edit moja ya vigezo. Niko tayari tuwe na mpaka watoto wawili.