Feedback: Natafuta mchumba

ayanda

JF-Expert Member
Mar 7, 2013
1,340
750
Hello wapendwa. ..Kwa heshima na taadhima na fur aha napenda kutangaza nimepata mwanaume au tuseme rafiki na nimempenda na kwasasa tupo kwenye urafiki. He is educated and matured. Yani my type and naomba mungu aweke mkono wake tufike mahali pazuri. Waliojitokeza ni wengi na asilimia 90 ni mamluki meaning serengeti boys wanaotafuta kulelewa, waume za watu wenye misongo ya mawazo na wengine matapeli tu yani wahuni yu. 10% walionekana serious. Na hii percent ya waliokua serious karibu wote wamesoma ulaya na wengine wapo masomoni ulaya. Nimegundua wabongo tuna tatizo la exposure Halafu pia wanaume wa kibongo hama respect Kwa wanawake Yani you take women for.granted. in short nimeona the power of education hata kwenye mambo ya mahusiano. Asanteni nyote mlioonyesha interest na wale waliotukana pia asanteni. Nataka kufunga akaunti hiI na nijotea kabisa Jamiii forum.
 
Hello wapendwa. ..Kwa heshima na taadhima na fur aha napenda kutangaza nimepata mwanaume au tuseme rafiki na nimempenda na kwasasa tupo kwenye urafiki. He is educated and matured. Yani my type and naomba mungu aweke mkono wake tufike mahali pazuri. Waliojitokeza ni wengi na asilimia 90 ni mamluki meaning serengeti boys wanaotafuta kulelewa, waume za watu wenye misongo ya mawazo na wengine matapeli tu yani wahuni yu. 10% walionekana serious. Na hii percent ya waliokua serious karibu wote wamesoma ulaya na wengine wapo masomoni ulaya. Nimegundua wabongo tuna tatizo la exposure Halafu pia wanaume wa kibongo hama respect Kwa wanawake Yani you take women for.granted. in short nimeona the power of education hata kwenye mambo ya mahusiano. Asanteni nyote mlioonyesha interest na wale waliotukana pia asanteni. Nataka kufunga akaunti hiI na nijotea kabisa Jamiii forum.

Ulipoweka tu Ulaya umeanza kuharibu. Ila kila la kheri na ulaya yako.
 
Akaunti unaifunga kwa kuwa umepata ulichotaka, inamaana mkizinguana utafungua akaunti upya. Mpaka hapo wew mwenyewe unaonyesha huna bado huja mature coz JF ilipaswa kuheshimiwa. Hata hao unaowaona walikuwa mizinguo walichangia sana kukufanya uwe na best choice. Rudi kundini tutakupokea na kukufutia ulipoteleza
 
Hello wapendwa. ..Kwa heshima na taadhima na fur aha napenda kutangaza nimepata mwanaume au tuseme rafiki na nimempenda na kwasasa tupo kwenye urafiki. He is educated and matured. Yani my type and naomba mungu aweke mkono wake tufike mahali pazuri. Waliojitokeza ni wengi na asilimia 90 ni mamluki meaning serengeti boys wanaotafuta kulelewa, waume za watu wenye misongo ya mawazo na wengine matapeli tu yani wahuni yu. 10% walionekana serious. Na hii percent ya waliokua serious karibu wote wamesoma ulaya na wengine wapo masomoni ulaya. Nimegundua wabongo tuna tatizo la exposure Halafu pia wanaume wa kibongo hama respect Kwa wanawake Yani you take women for.granted. in short nimeona the power of education hata kwenye mambo ya mahusiano. Asanteni nyote mlioonyesha interest na wale waliotukana pia asanteni. Nataka kufunga akaunti hiI na nijotea kabisa Jamiii forum.
hongera dada ila uliempata akikuacha njoo kwangu mi ntakuoa siku hiyo hiyo kuonesha kua nipo serious
 
Kwa namna ulivyoandika hapo juu inaonyesha wazi kwamba bado hujupata..unachokifanya ni kuwa-silence watu
 
Jina lako tu litanifanya hata nisikuangalie mara 2. Sasa dume zima unajisifia u handsome? Inahuuuu
we bwege kweli nani amejisifia handsome. umetembeza lipapa mpk limeisha ladha ndo unakuja kuuza humu. we muuza uch.i tu huna lolote, afu ungekuwa bright ungeelewa maana comment ya hapo juu inaonesha nimekukejeli ila kwa vile kichwa chako kinafanana na papuchi yako basi unajikuta bonge la muuza uch.i kumbe shombo tu. POTEAAAAAA
 
we bwege kweli nani amejisifia handsome. umetembeza lipapa mpk limeisha ladha ndo unakuja kuuza humu. we muuza uch.i tu huna lolote, afu ungekuwa bright ungeelewa maana comment ya hapo juu inaonesha nimekukejeli ila kwa vile kichwa chako kinafanana na papuchi yako basi unajikuta bonge la muuza uch.i kumbe shombo tu. POTEAAAAAA
Amani ya bwana wetu Yesu kristu ikae nawe daima. .....say amen
 
Dah mapenzi yanachagua nchi ulaya jamani tubadilikeee
My dear sijasema mapenzi yanachagua ulaya. Nimetoa a simple observation na nikaconclude kwamba waliosoma nje wana exposure so hata lugha yao ni tofaut na hawa ambao hawana exposure. Wasio na exposure wana lugha kali halafu hata approach yao sio ya kigentlema. Anyway unajua kizungu nacho kina mvuto wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom