Mwanaume wa kuzaa nae!

queen Girl

Member
Aug 4, 2017
19
107
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
 
Sahihisha chaguo la kabila au taja kabisa kabila ulitakalo, sidhani kama kuna asiyependa kuzaa mtoto harafu asimuone huyo atakuwa dume wa nyuki ambaye akipanda tu kwa malkia lazima afe wewe unamuua mtu aliye hai unatia shaka
 
Kuna swali unaliruka.... Weka majibu yako ya V.V.U kwanza... Usijekuwa pangaboi ukataka kumaliza nguvu kazi ya taifa.

Wapenda dezo.... Mara nyingi dezo hutokea puani... Unapoona fursa yoyote... Tafakari kwanza na kuwa makini.
Ntakuwa tayari kupima
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Najiweza na sitapata shida kumtunza mtoto, akizaliwa ntamwmbia baba yake alikufa kwa ajali.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Sifa zote ninazo isipokuwa umri tu nina 33 vipi naruhusiwa?
 
Back
Top Bottom