queen Girl
Member
- Aug 4, 2017
- 19
- 107
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.