puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 940
- 1,847
Habari za muda huu wana JF.
Katika changamoto kubwa niliyonayo katika maisha yangu ya mahusiano..nipo sensitive sana kwenye mapenzi hasa pale mpenzi wangu anapofanya jambo la kuniumiza.
Kiufupi mimi ni aina ile ya wanaume, nikisha mpenda mtu...nawekeza moyo wangu kwake, nakua sina mpango kabisa na wanawake wengine, jambo hili limenifanya, jambo lolote ambalo halipo sawa, naliona au kulisi kwa urahisi sana, yani harufu ya usaliti na ihisi mapema sana.
Sasa ikatokea tu, hata nikahisi kuwa mwenzangu ananisaliti moyo wangu huwa unauma sana mpk kufikia hatua nakosa kabisa furaha.
Sometimes natamani, kuwa busy na mambo yangu nisimfwatilie kwa lolote lakini nashindwa, jambo hili limenifanya nisidumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu. Mara nyingi huwa mm ndio nayavunja mahusiano kwa kuhofia kuumia zaidi.
Sasa hali hii imepelekea kutokuona mwanamke sahihu wa kuanzisha nae maisha. Kilichonisukuma leo kuja hapa jukwaani, kuna binti nipo nae katika mahusiano 2 yrs now, lakini hivi karibuni nimekuja kugundua mapicha picha anayonifanyia moyo wangu umekuwa mzito sana kuendelea nae katika hatua muhimu ya ndoa.
Ingawaje yeye hajui chochote kama nimeshamfatilia na kugundua madudu anayofanya nyuma ya pazia.
Ndugu zangu...naombeni ushauri wenzangu mnafanyaje, ni kwamba nakutana na wanawake wasio sahihi kwangu au wote wapo hivyo ila mimi nimekosa uvumilivu, au niji tune vipi mapenzi yasiniumize kiasi hiki.
Kiukweli nimechoka, naona kabisa nina safari ndefu sana yakupata mwenza wa maisha.
Naombeni ushauri wenu wadau...karibuni.
Katika changamoto kubwa niliyonayo katika maisha yangu ya mahusiano..nipo sensitive sana kwenye mapenzi hasa pale mpenzi wangu anapofanya jambo la kuniumiza.
Kiufupi mimi ni aina ile ya wanaume, nikisha mpenda mtu...nawekeza moyo wangu kwake, nakua sina mpango kabisa na wanawake wengine, jambo hili limenifanya, jambo lolote ambalo halipo sawa, naliona au kulisi kwa urahisi sana, yani harufu ya usaliti na ihisi mapema sana.
Sasa ikatokea tu, hata nikahisi kuwa mwenzangu ananisaliti moyo wangu huwa unauma sana mpk kufikia hatua nakosa kabisa furaha.
Sometimes natamani, kuwa busy na mambo yangu nisimfwatilie kwa lolote lakini nashindwa, jambo hili limenifanya nisidumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu. Mara nyingi huwa mm ndio nayavunja mahusiano kwa kuhofia kuumia zaidi.
Sasa hali hii imepelekea kutokuona mwanamke sahihu wa kuanzisha nae maisha. Kilichonisukuma leo kuja hapa jukwaani, kuna binti nipo nae katika mahusiano 2 yrs now, lakini hivi karibuni nimekuja kugundua mapicha picha anayonifanyia moyo wangu umekuwa mzito sana kuendelea nae katika hatua muhimu ya ndoa.
Ingawaje yeye hajui chochote kama nimeshamfatilia na kugundua madudu anayofanya nyuma ya pazia.
Ndugu zangu...naombeni ushauri wenzangu mnafanyaje, ni kwamba nakutana na wanawake wasio sahihi kwangu au wote wapo hivyo ila mimi nimekosa uvumilivu, au niji tune vipi mapenzi yasiniumize kiasi hiki.
Kiukweli nimechoka, naona kabisa nina safari ndefu sana yakupata mwenza wa maisha.
Naombeni ushauri wenu wadau...karibuni.