funluverx
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 480
- 342
Umri usiozidi miaka 35.
Awe mtanzania wa kuzaliwa.
Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana)
Awe amesoma angalau kiasi.
Awe mwenye Hofu ya Mungu.
Awe anajitambua na mwenye kujishughulisha.
Mvuto wa ndani uushinde mvuto wa nje.
Akiwa na Ajira yake/Kazi yake itapendeza ila si lazima.
Awe anaishi Tanzania au Nje ya Tanzania lakini Uraia shurti uwe wa Tanzania.
Nia na madhumuni ni urafiki ambao utaelekea mbele zaidi iwapo tutaridhiana,kuendana na nafsi zetu kukubaliana.
Mimi nina uraia wa Tanzania,
Muislam na mwenye Umri wa Miaka 40,
Sikuwahi kuwa kwenye Ndoa,
Nimejiajiri na nina kipato cha 'Mkononi kwenda Kinywani'.
Mwanamama sikiliza nafsi yako na chukua maamuzi sasa iwapo unazo sifa tajwa.
Sifanyi mas'khara hapa.
Ukiwa unaye rafiki mwenye sifa hizo unaweza kumfahamisha pia.
Tuma maelezo yako binafsi PM.
Awe mtanzania wa kuzaliwa.
Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana)
Awe amesoma angalau kiasi.
Awe mwenye Hofu ya Mungu.
Awe anajitambua na mwenye kujishughulisha.
Mvuto wa ndani uushinde mvuto wa nje.
Akiwa na Ajira yake/Kazi yake itapendeza ila si lazima.
Awe anaishi Tanzania au Nje ya Tanzania lakini Uraia shurti uwe wa Tanzania.
Nia na madhumuni ni urafiki ambao utaelekea mbele zaidi iwapo tutaridhiana,kuendana na nafsi zetu kukubaliana.
Mimi nina uraia wa Tanzania,
Muislam na mwenye Umri wa Miaka 40,
Sikuwahi kuwa kwenye Ndoa,
Nimejiajiri na nina kipato cha 'Mkononi kwenda Kinywani'.
Mwanamama sikiliza nafsi yako na chukua maamuzi sasa iwapo unazo sifa tajwa.
Sifanyi mas'khara hapa.
Ukiwa unaye rafiki mwenye sifa hizo unaweza kumfahamisha pia.
Tuma maelezo yako binafsi PM.