Mr Bundi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 324
- 414
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nina miaka 24, natafuta mke mwema awe:
1. Muislam
2. Umri miak 18-20
3. Mwenye kujiheshim
4. Amekulia katika mazingira ya kidini (mwenye hofu ya Mungu)
4. Mweupe(Ikibidi)
5. Awe hajazaa na hajawah kuolewa.
6. Awe tayari kuolewa
Aliyetayari au mwenye ndugu/jmaa/rafiki mwenye sifa hzo ani PM.
NB sifa no 4 hata mm mwnyw sina
Nina miaka 24, natafuta mke mwema awe:
1. Muislam
2. Umri miak 18-20
3. Mwenye kujiheshim
4. Amekulia katika mazingira ya kidini (mwenye hofu ya Mungu)
4. Mweupe(Ikibidi)
5. Awe hajazaa na hajawah kuolewa.
6. Awe tayari kuolewa
Aliyetayari au mwenye ndugu/jmaa/rafiki mwenye sifa hzo ani PM.
NB sifa no 4 hata mm mwnyw sina