Black Mann
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 140
- 209
Habari za jioni ndugu zangu,
Nimeamua kuja hapa kueleza hisia zangu yawezekana kuna atakayeguswa na Mimi.
Mimi Nina miaka Kati ya 30-36 naishi Dar es salaam, nimekuwa mpweke Kwa muda mpaka nimechoka sasa, naomba mwanamke yoyote aliye mpweke kama Mimi tuungane na kupeana kampani, umri wowote karibu PM.
Asanten Kwa kusoma thread yangu
Nimeamua kuja hapa kueleza hisia zangu yawezekana kuna atakayeguswa na Mimi.
Mimi Nina miaka Kati ya 30-36 naishi Dar es salaam, nimekuwa mpweke Kwa muda mpaka nimechoka sasa, naomba mwanamke yoyote aliye mpweke kama Mimi tuungane na kupeana kampani, umri wowote karibu PM.
Asanten Kwa kusoma thread yangu