lugabussa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 560
- 511
Mimi ni kijana mwenye miaka 27, naishi mkoa wa Kigoma, natafuta mke wa kuishi naye maishani na tuwe mke na mume.
Sifa zangu muoaji
1. Elimu ngazi Shahada ya Kwanza(Bachelor degree).
2. Mwembamba kiumbo.
3. Mrefu.
4. Kazi - Shughuli ndogondogo, bado sijaajiriwa.
5. Dini - Islamic.
6. Sina mtoto, wala sijawahi kuoa.
Sifa za mke (mwanamke) ninayemhitaji
1. Awe mweupe kwa rangi.
2. Awe mzaliwa wa mikoa ya Singida, Dodoma, Tabora au Pwani.
3. Awe na umri kati ya 21-26.
4. Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
5. Asiwe na magonjwa ya kurithi.
6. Awe muslim.
7. Awe bado hajazaa (hana mtoto).
8. Awe tayari kupima afya.
Ambaye anahitaji aje PM tuyajenge, karibuni sana.
Sifa zangu muoaji
1. Elimu ngazi Shahada ya Kwanza(Bachelor degree).
2. Mwembamba kiumbo.
3. Mrefu.
4. Kazi - Shughuli ndogondogo, bado sijaajiriwa.
5. Dini - Islamic.
6. Sina mtoto, wala sijawahi kuoa.
Sifa za mke (mwanamke) ninayemhitaji
1. Awe mweupe kwa rangi.
2. Awe mzaliwa wa mikoa ya Singida, Dodoma, Tabora au Pwani.
3. Awe na umri kati ya 21-26.
4. Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
5. Asiwe na magonjwa ya kurithi.
6. Awe muslim.
7. Awe bado hajazaa (hana mtoto).
8. Awe tayari kupima afya.
Ambaye anahitaji aje PM tuyajenge, karibuni sana.