Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Jamani ndugu zangu mimi naitwa marwan niko kenya mombasa natafuta mchumba mzuri mwenye mpenzi la kweli awe na umri wa miaka 20 mpaka 23 yeyote mwenye yuko tayari anipigie +254702579780 ama emil...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
WanaJF wenzangu Salamu, Kumekuwepo na threads kadhaa za kutafuta wenza (wachumba, Marafiki, wake na waume) nafurahi wanaJf wamekuwa wakichangia kwa hali yoyote ile ili kuwafanikishia lengo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari za saa hizi Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Jamani wanaJF, a) Wanaopenda kukandia karibuni b) wenye nia njema karibuni saaaana! Lengo Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa: i. Mlokole wa kweli ii. Kati ya 21...
0 Reactions
135 Replies
14K Views
Naomba mnijuze juu ya hili kabla sijpotea ndugu yenu
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Mhh, nimempata huyu mlimbwende , ila haka kamila kao kananiboa ,naweza badili msimamo!
0 Reactions
101 Replies
13K Views
Hii nimeitoa Michuzi blog, kwa wale vijana mnao tafuta wachumba kazi kwenu "Habari kaka Michuzi, Naomba unirushie tangazo langu Hili. Mimi ni msichana natafuta Rafiki ambaye yupo serious...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
hi ladies am immanuel am 25 yrs mimi ninaingia chuo maka huu nimepa chuo nje ya nchi huko mozambique urefu wangu ni wastani na rangi yangu ni maji ya kunde ninahitaji mpenzi awe mzuri elimu yake...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila mafanikio, imenibidi nije hapa jukwaani ili kama kutakuwa na matatizo ya mtu kama mimi basi tuweze kujiunganisha. Nipo serious katika hili na hakuna utani...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wana JF yoyote yule aliye tayari aniPM nimuunganishe na huyu mama anatafuta mchumba kwa udi na uvumba! Sifa kubwa nikuweza kuhimili turbo hilo maana likifunguka turbo hili kuzima ni Dk 25 baada...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani! My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee...
0 Reactions
459 Replies
30K Views
Wapendwa wadada wa JF, Kwa heshima na taadhima naomba kuwafahamisha kuwa mimi natafuta msichana ambaye na yeye anatafuta mwanaume ili kuweza kufunga ndoa na kuachana na maisha ya Ukapera...
1 Reactions
54 Replies
8K Views
najua kuwa wako watakaotukana na hawakosekani pia watakaokashifu hatua hii lakini ndivyo ilivyo,awe she mwenye vidato au college umri 23 - 28
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wanajamvi natafuta mwenza, me ni mama wa mtoto mmoja. Kutokana na sababu zisizozuilika nimetengana na mwenzangu. Nimekuwa mpweke kwa muda. Naomba msinibeze . Nawasilisha.
1 Reactions
124 Replies
12K Views
sifa. 1. Awe DADA mlokole . 2. Awe mzima wa roho na mwili. 3. Asiwe amewahi kuonjesha kwa makusudi. 4. Awe na elimu yoyote. 5. Asiwe mzee sana ( age 18-30). Deadline 20 january 2012...
0 Reactions
58 Replies
8K Views
THIS IS NOT A JOKE: NATAFUTA MSICHANA AU MWANAMKE WA KUMFANYA MCHUMBA NA HATIMAYE MKE: SIFA ZAKE: i. UMRI KUANZIA MIAKA 18 MPAKA 32 ii. ELIMU DARASA LA SABA HADI FORM SIX (ASIWE NA...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
I am a man of below 30 yrs natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27 mcha Mungu(mi ni mkristu), mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake. PM me please for further contact I...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
I am a man of below 30 yrs natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27 mcha Mungu, mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake. PM me please for further contact I present
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Mimi ni mtanzania ninayeishi Scandinavia na nimechukua uraia wa hapa. Natafuta mpenzi/mchumba anayeishi Europe kwa sababu itakuwa ni rahisi kutembeleana na kuwasiliana. Mimi ni mtaratibu, mkimya...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…